Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji119] [emoji119]Umesahau alichofanya lukaku juzi kati?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wangapi tunaweza kufanya hivi?
Haya mambo we acha tu jamaaaKabisa mkuu, unaweza kufanya kila mbwembwe lakini mtu anachukulia kawaida.. Inapunguza hamasa
Hahahah madudu ya wazungu ayo sio bongo banaNakazia na inch 6
nimecheka sana aiseeNyumbani siwezi, ila ikiwa ni hotelini naweza kufata restaurant.
Hapo ni kama bado tupo siku hiyo, tukimaliza chai kuna malipo yangu, then ndo tukafanye mizunguko.
haaaaaaaaahhhhhhhhh mweusi ni mweusi tu !lolKwa siku ya kwanza naweza ,ila siku zingine nitasahau tu
Wangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035