Breakfast yako kuu kwa sasa ni ipi?

Breakfast yako kuu kwa sasa ni ipi?

Mie mama wa nyumbani ratiba yangu ni hii
Jumatatu napika mkate wa ufuta na maziwa
Jumanne : viazi vya kukaanga kachumbari na chachandu
Jumatano: mihogo mixer viazi na karanga za kuchemshwa
Alhmisi : maandazi na rost inategemea mzuka wa siku hiyo
Ijumaa : kiporo cha maharage na wali sababu alhamisi nina ratiba ya kupika maharage, kunde au choroko
Jumamosi: supu ya sangara na ndizi
Jumapili : supu ya kuku na viazi vya kuchemshwa tunachovya na mbegu za ufuta au mbegu za maboga zinakaangwa zinatwangwa utamu wake ni balaaa.. Mwanangu mmoja hapendagi hiyo mixer so huwa natoa kipande cha kuku namkaangia na viazi na kachumbari.
 
Kiuhalisia kama hufanyi kazi za jasho au nguvu hupaswi kupata breskfast, ikiwa utapata iwe chai kavu bila wanga. Tumuunge mkono Dr Janabi kupunguza magonjwa yasio ambukiza.
Ukisikiliza huo ujinga ukipewa pussy kimoja cha sekunde chali....
kija kula tende na maziwa wiki moja unasugua kisimi hadi anamwaga na hachepuki ngo!😋 To yeye
 
Mie mama wa nyumbani ratiba yangu ni hii
Jumatatu napika mkate wa ufuta na maziwa
Jumanne : viazi vya kukaanga kachumbari na chachandu
Jumatano: mihogo mixer viazi na karanga za kuchemshwa
Alhmisi : maandazi na rost inategemea mzuka wa siku hiyo
Ijumaa : kiporo cha maharage na wali sababu alhamisi nina ratiba ya kupika maharage, kunde au choroko
Jumamosi: supu ya sangara na ndizi
Jumapili : supu ya kuku na viazi vya kuchemshwa tunachovya na mbegu za ufuta au mbegu za maboga zinakaangwa zinatwangwa utamu wake ni balaaa.. Mwanangu mmoja hapendagi hiyo mixer so huwa natoa kipande cha kuku namkaangia na viazi na kachumbari.
Hii ngoja niirudie kusoma Tena
 
Chapati mbili
IMG_20240411_105343_311.jpg
 
Back
Top Bottom