Breakfast yako kuu kwa sasa ni ipi?

Breakfast yako kuu kwa sasa ni ipi?

Aiseeh chai Mimi sinywi Huwa nachukua nyanya mbichi,kitunguu,pilipili kidoogo hoho,embe,tango, carrot,limao,

vinaoshwa kwa maji Safi vina katwa katwa Kisha vina liwa Kama kachumbali

Baada ya Hapo niku nunua chupa za maji mpaka jioni inakuwa ni kazi kazi
 
Fav, ikifatiwa na mtori na uji.
Mandazi kama usiku uliopita sikula
IMG_3555.jpeg
 
Wengine kila asubuhi chai Mkate wengine hupendelea Viazi mviringo kila asubuhi na wengine kiporo cha wali.
Mimi Kwa mazingira ninayokuwepo asubuh siwezi kukwepa Mihogo Kama mnavojua cassava Kwa sasa ndo ipo on chart bila kuchoka Maharage na Juice ya passion. Kwanini kwanza navikubali vitu hivo

Juice ya Passion ina vitamini C nyingi, ambayo ni antioxidant inAsaidia kulinda mwili .Vitamini C inaongeza kinga ya mwili, mwili unanyonya madini ya chuma zaidi kutoka kwa vyakula vinavyotokana na mimea, so juice yangu hio inaboresha uwezo wa mwili wa kupambana na maambukizi mwilini.

Ukija kwenye cassava hapo una kalori nyingi na wanga nyingi na vitamini na madini pia. Na wenyewe una vitamini C, thiamine, riboflauini n. k ingawa Kati ya muhogo na kiazi kitamu ambacho kipo juu Kwa nutrients ni kiazi kitamu.

Maharage hapo ndo penyewe sasa uhakika kwenye Protini ambayo ni kirutubisho muhimu kutengeneza mwili pamoja na folate. Maharage ni mazuri mnoooo Kwa afya ya moyo.yanapunguza hatari ya saratani,kisukari na mwisho kabisa hayana cholesterol.. Me daima nitakula Maharage hakuna cha vidonda vya tumbo wala kiungulia. Me nayatandika Mpaka mwisho.

Tubadilishane uzoefu we unakula nini asubuhi mara nyingi nyingi.

Mimi chochote kilichopo mbele yangu hata kipolo Cha ugali!
 
Wengine kila asubuhi chai Mkate wengine hupendelea Viazi mviringo kila asubuhi na wengine kiporo cha wali.
Mimi Kwa mazingira ninayokuwepo asubuh siwezi kukwepa Mihogo Kama mnavojua cassava Kwa sasa ndo ipo on chart bila kuchoka Maharage na Juice ya passion. Kwanini kwanza navikubali vitu hivo

Juice ya Passion ina vitamini C nyingi, ambayo ni antioxidant inAsaidia kulinda mwili .Vitamini C inaongeza kinga ya mwili, mwili unanyonya madini ya chuma zaidi kutoka kwa vyakula vinavyotokana na mimea, so juice yangu hio inaboresha uwezo wa mwili wa kupambana na maambukizi mwilini.

Ukija kwenye cassava hapo una kalori nyingi na wanga nyingi na vitamini na madini pia. Na wenyewe una vitamini C, thiamine, riboflauini n. k ingawa Kati ya muhogo na kiazi kitamu ambacho kipo juu Kwa nutrients ni kiazi kitamu.

Maharage hapo ndo penyewe sasa uhakika kwenye Protini ambayo ni kirutubisho muhimu kutengeneza mwili pamoja na folate. Maharage ni mazuri mnoooo Kwa afya ya moyo.yanapunguza hatari ya saratani,kisukari na mwisho kabisa hayana cholesterol.. Me daima nitakula Maharage hakuna cha vidonda vya tumbo wala kiungulia. Me nayatandika Mpaka mwisho.

Tubadilishane uzoefu we unakula nini asubuhi mara nyingi nyingi.

Ugali na mboga iliyobaki usiku! Serious! Kiporo kilichobaki usiku ndo nakipiga asubuhi nasindikiza na energy xtra ya mo!
 
Utaelewa nikikuambia manaa mie ni sausage, maharage , bacon na mayai, na mkate wa brown bread plus chai ya maziwa . Ila maziwa ni ya kilimanjaro fresh. Mara ingine sausage mayai, kiporo . Inatagemea nimeamua nini mara ingine chapati mayai , mar ingine kuku ma chipsi mar ingine kama kazi ya shamba imeanza hadi mchana nitakula chipsi kavu na mishakaki yote ya kuku
 
Back
Top Bottom