Ni sahihi Sana huyo jamaa na CCM kawaitia polisi wenzie alijiona usalama wa taifa alitamba Sana hapo viungani kipikipiki posta Cha watawala hiyo Ni laanaKakugongea demu wako si bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sahihi Sana huyo jamaa na CCM kawaitia polisi wenzie alijiona usalama wa taifa alitamba Sana hapo viungani kipikipiki posta Cha watawala hiyo Ni laanaKakugongea demu wako si bure
Ni sahihi Sana huyo jamaa na CCM kawaitia polisi wenzie alijiona usalama wa taifa alitamba Sana hapo viungani kipikipiki posta Cha watawalaKm ni coET hiyo kawaida nilijua course za kike
Ni sahihi Sana huyo jamaa na CCM kawaitia polisi wenzie alijiona usalama wa taifa alitamba Sana hapo viungani kipikipiki posta Cha watawala hiyo Ni laana takatifuKwanza umemdharirisha. Pill ni udaku tu coz huna uhakika
Una ugomvi gani na huyo jamaa?
Huko vyuoni kuna chuki na vijicho sana. | |
Sio wote nakumbuka walikuwepo mademu wazuri Industrial na Telecom miaka yetu kabla haijawa CoICT.COet mademu wabayaaa
Niliposoma disco nyingi zilikuwa zinatokana na idadi ya sup hata kama GPA ni ya zaidi ya 2.Hizo Sup si ndio zinatengeneza GPA
Huko sidhani kama kuna condition hiyo maana kuna watu walikuwa wanasapua hadi masomo manne. Ninachojua kitu kingine kinachoweza kumdisco mtu ni kushindwa kusapua course aliyobebaNiliposoma disco nyingi zilikuwa zinatokana na idadi ya sup hata kama GPA ni ya zaidi ya 2.
Sup 3 za masomo 3 tofauti, unadisco.
Hapo nimeuliza huo itaratibu pia upo UDSM?
Sisi kudisco ni mwaka wa 2 na wa 1 tu.Huko sidhani kama kuna condition hiyo maana kuna watu walikuwa wanasapua hadi masomo manne. Ninachojua kitu kingine kinachoweza kumdisco mtu ni kushindwa kusapua course aliyobeba
We jamaa n wa muhas km sikoseiSisi kudisco ni mwaka wa 2 na wa 1 tu.
Miaka inayofuata unaweza kucarry hata mara kadhaa hadi ufaulu.
Ndio mkuuWe jamaa n wa muhas km sikosei
Mechanical Engineering ni mziki mwingine aseeHuyu nae atakuwa hasomi,ELE anashindwa kufikisha 1.8?Ingekuwa ME je? Apunguze siasa na ajikite kwenye masomo.
Wewe umezunguka Coet yote? Kuna pini zipo.COet mademu wabayaaa