Breaking News! Waziri wa DARUSO aokolewa kudisco! Walimu wambeba !

Breaking News! Waziri wa DARUSO aokolewa kudisco! Walimu wambeba !

Sasa huu siutoto jaman mbona wamdhalilisha mwenzio hivo sasa Alafu hizo mambo ni mapito tuu elimu zenyewe zakukaririshwa
 
Habari wanazengo hususani wana UDSM, hapo jana niliwapa habari ya kwamba kuna waziri mmoja taarifa zilisema amepata GPA ya 1.5 chini ya ile inayohitajika ya 1.8 , ambapo katika kikao cha department alishundwa kusaidika.

Ila habari zilizopatikana hivi punde ni kwamba jamaa amefanikiwa kuwa lobby walimu na kumuongezea marks ambapo hivi sasa tunavyozungumza matokeo yake yanaonyesha ana GPA ya 1.8.

Hivyo kwa sasa ana kibarua kigumu cha kukazana kusoma ili aweze kufaulu mitihani yake ya supplementary hapo september ili afikishe GPA ya kuvukia mwaka wa masomo ambayo ni GPA ya 2.0.

Waziri huyo wa Cafteria na Afy anaitwa Lucas Magacha anayesomea Electrical Engineering kutokea College ya Engineering (CoET).

Watu wengi walioneshwa kustuka na wengine kufurahia kuteleza kwake huku kutokana na kaliba yake ya majigambo, chuki za kisiasa, n.k.

Wadau wanasema pigo hili alilopata likawe funzo kwamba asijifanye yeye kila kitu mjuaji...na tunajua Amepewa ufaulu wa mezani.

Hivyo kuandika kwetu huku tunaweka record sawa kwamba ajue tunajua ya kwamba amebebwa tu, na si ufaulu wake huo.


Ufaulu huu wa mezani ni weakness pia kwa chuo kikuu hichi kwani inadumaza taaluma.


Ungana nami zaidi hapo baadae !
Hiyo GPA anafanya nini FOE?
 
Habari wanazengo hususani wana UDSM, hapo jana niliwapa habari ya kwamba kuna waziri mmoja taarifa zilisema amepata GPA ya 1.5 chini ya ile inayohitajika ya 1.8 , ambapo katika kikao cha department alishundwa kusaidika.

Ila habari zilizopatikana hivi punde ni kwamba jamaa amefanikiwa kuwa lobby walimu na kumuongezea marks ambapo hivi sasa tunavyozungumza matokeo yake yanaonyesha ana GPA ya 1.8.

Hivyo kwa sasa ana kibarua kigumu cha kukazana kusoma ili aweze kufaulu mitihani yake ya supplementary hapo september ili afikishe GPA ya kuvukia mwaka wa masomo ambayo ni GPA ya 2.0.

Waziri huyo wa Cafteria na Afy anaitwa Lucas Magacha anayesomea Electrical Engineering kutokea College ya Engineering (CoET).

Watu wengi walioneshwa kustuka na wengine kufurahia kuteleza kwake huku kutokana na kaliba yake ya majigambo, chuki za kisiasa, n.k.

Wadau wanasema pigo hili alilopata likawe funzo kwamba asijifanye yeye kila kitu mjuaji...na tunajua Amepewa ufaulu wa mezani.

Hivyo kuandika kwetu huku tunaweka record sawa kwamba ajue tunajua ya kwamba amebebwa tu, na si ufaulu wake huo.


Ufaulu huu wa mezani ni weakness pia kwa chuo kikuu hichi kwani inadumaza taaluma.


Ungana nami zaidi hapo baadae !
Kama huna uwezo wa kitaaluma UDSM usijaribu kugusa DARUSO. GPA 1.5 wallah, sijui mwamba kama alimaliza FOE.
 
Habari wanazengo hususani wana UDSM, hapo jana niliwapa habari ya kwamba kuna waziri mmoja taarifa zilisema amepata GPA ya 1.5 chini ya ile inayohitajika ya 1.8 , ambapo katika kikao cha department alishundwa kusaidika.

Ila habari zilizopatikana hivi punde ni kwamba jamaa amefanikiwa kuwa lobby walimu na kumuongezea marks ambapo hivi sasa tunavyozungumza matokeo yake yanaonyesha ana GPA ya 1.8.

Hivyo kwa sasa ana kibarua kigumu cha kukazana kusoma ili aweze kufaulu mitihani yake ya supplementary hapo september ili afikishe GPA ya kuvukia mwaka wa masomo ambayo ni GPA ya 2.0.

Waziri huyo wa Cafteria na Afy anaitwa Lucas Magacha anayesomea Electrical Engineering kutokea College ya Engineering (CoET).

Watu wengi walioneshwa kustuka na wengine kufurahia kuteleza kwake huku kutokana na kaliba yake ya majigambo, chuki za kisiasa, n.k.

Wadau wanasema pigo hili alilopata likawe funzo kwamba asijifanye yeye kila kitu mjuaji...na tunajua Amepewa ufaulu wa mezani.

Hivyo kuandika kwetu huku tunaweka record sawa kwamba ajue tunajua ya kwamba amebebwa tu, na si ufaulu wake huo.


Ufaulu huu wa mezani ni weakness pia kwa chuo kikuu hichi kwani inadumaza taaluma.


Ungana nami zaidi hapo baadae !
DARUSO leaders nowdays wamekuwa CHAWA WA MAMA, hawana tofaauti na MWIJAKU.
 
Back
Top Bottom