ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Hivi Marekani si alifunga mfumo wa THAD wenye jukumu la kukabiliana na makombora kama hayo ?
Inawezekanaje kieneo kidogo kama Israel kilicho jaa kila aina ya takataka za ID zinazo pambwa kuwa ni bora kiwe kina shambuliwa na makombora tena yenye teknolojia hafifu?
Inawezekanaje kieneo kidogo kama Israel kilicho jaa kila aina ya takataka za ID zinazo pambwa kuwa ni bora kiwe kina shambuliwa na makombora tena yenye teknolojia hafifu?