Breaking waasi wa houthi waipiga Tel Aviv kwa makombora, mfumo wa kuzuia makombora wa idf washindwa kufanya kazi, 14 wajeruhiwa

Breaking waasi wa houthi waipiga Tel Aviv kwa makombora, mfumo wa kuzuia makombora wa idf washindwa kufanya kazi, 14 wajeruhiwa

Hivi Marekani si alifunga mfumo wa THAD wenye jukumu la kukabiliana na makombora kama hayo ?
Inawezekanaje kieneo kidogo kama Israel kilicho jaa kila aina ya takataka za ID zinazo pambwa kuwa ni bora kiwe kina shambuliwa na makombora tena yenye teknolojia hafifu?
 
Hivi Marekani si alifunga mfumo wa THAD wenye jukumu la kukabiliana na makombora kama hayo ?
Inawezekanaje kieneo kidogo kama Israel kilicho jaa kila aina ya takataka za ID zinazo pambwa kuwa ni bora kiwe kina shambuliwa na makombora tena yenye teknolojia hafifu?
Wapii mfumo uyo marekani mwenyewe kashatestiwa na ile mimeli yake ikapigwa muda sio mlefu marekani itoa mlio na kutoka nduki mid Est. Au wakimbilie UN mana Yemen akuna Taget kama zile za Lebanon kule Lebanon yale majengo IDF ilikuwa inayashusha zilikuwa ni Apartment kubwa zinazomilikiwa na Taasisi ya Hezboolah sasa yemen Watapiga tu mitambo y umeme au maji mafuta lkn majubwa kama kwengine uko akuna labda wa pige tu za raia.
 
Kumbe hujui kabisa Kiingereza.

14 people were lightly hurt, most of them from broken glass, kwa Kiswahili inakuwa ni uharibifu mkubwa? Nendeni shule mkasome. Kama hata lugha tu hamuelewi, nini ambacho mnaelewa?
Sisi wenzake tumeelewa alichomaanisha, hakuna tofauti kubwa na ulivyoolewa wewe, samahani ilivyoelewa wewe. Kikubwa na kuelewa, hatuwezi kuwa perfect 100%, Baki na elimu yako unayodhania ni kubwa kuliko mwenzako.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa

Tel Aviv yapigwa na kombora zitoe kutoka Yemen

Mfumo wa kuzuia makombora umeshindwa kuzuia kombora hilo ambalo limepiga tel Aviv na kufanya uharibifu mkubwa

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

The military confirms that a missile originating in Yemen impacted in central Israel a short time ago, saying “attempted interceptions did not succeed.”

It says further details are being checked.

The Magen David Adom ambulance service says 14 people were lightly hurt in the missile strike in Tel Aviv, most of them as a result of broken glass.

A few others were bruised while rushing to shelters.

Times of Israel
Juzi kati tumeambiwa israel imeshambilia yemen na kuteketeza nguvu zote za Houth hawawezi hata kujitetea kwa bastola ziliangamizwa zote!
 
Iyo habari imekuuma leo ndio umeona siku ya kumuliza Engilish kapata ngapi!!!!! Akiletaga habari inakufuraisha mbona amtaki kujua kiswahili kapata ngap!! Mmezoeya kudanganywa povu lako nenda nalo Telaviv wenzio bado wanatafuta watu kwenye vifusi!! English yake itakusaidia nn ww mnunua udongo.
Iweke hapa hiyo habari ilomfurahisha akaikalia kimya.
 
Kumbe hujui kabisa Kiingereza.

14 people were lightly hurt, most of them from broken glass, kwa Kiswahili inakuwa ni uharibifu mkubwa? Nendeni shule mkasome. Kama hata lugha tu hamuelewi, nini ambacho mnaelewa?
Aibu kubwa Sana mkuu....
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa

Tel Aviv yapigwa na kombora zitoe kutoka Yemen

Mfumo wa kuzuia makombora umeshindwa kuzuia kombora hilo ambalo limepiga tel Aviv na kufanya uharibifu mkubwa

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

The military confirms that a missile originating in Yemen impacted in central Israel a short time ago, saying “attempted interceptions did not succeed.”

It says further details are being checked.

The Magen David Adom ambulance service says 14 people were lightly hurt in the missile strike in Tel Aviv, most of them as a result of broken glass.

A few others were bruised while rushing to shelters.

Times of Israel
Taarifa umeiweka kinafiki sana kichwa cha habar kinasema makombora ili Hali ni kombora Moja Tena limelipuka sehemu ya wazi.
 
Baada ya kushiba magimbi na viazi vitamu asubuhi hii apo kwa shemeji yakoo,umeona na wewe uje uandike hiki.
Huo ndo ukweli hata kama mchungu umeze hivo hivo
IRAQ ngangali Hezbollah yupo ngangali Hamas ardhin yupo ngangali Yemen mziki ndio kwanza unaanza akuna aliekata moto. ukiona Gaza wanauliwa raia ujue kuna IDF wameuwawa ivyo asila zao wanaenda piga raia. HAMAS wako oky sana. Kwasasa lengo ni kuzuiya watu kusheelekea mwaka mpya ndani ya Israel ndio unaona moto unaopelekwa!!!!
Hamasi hamiliki ardhi yeyote Gaza kwa sasa anaishi kwa kuhamahama Kawa mkimbizi kutwa kucha kwenye mashimo Kila Kona amechukuwa muyahudi,Hezbollah Kisha tulizwa kwa kipigo huto sikia akipayukapayuka Tena ameambiwa akae pembeni,Iraq hakuna kitu hapo ndo ndege za Israel zilipo mpa ukilema Iran,Ayatollah jasho linamtoka kwa kutetemeka hajui atatimiza vipi Opareshi III,hicho ndo myahudi kamfanya,alimtegemea Rasia lkn naye kavamiwa huko Kurkus usicheze na west wewe
 
Hivi Marekani si alifunga mfumo wa THAD wenye jukumu la kukabiliana na makombora kama hayo ?
Inawezekanaje kieneo kidogo kama Israel kilicho jaa kila aina ya takataka za ID zinazo pambwa kuwa ni bora kiwe kina shambuliwa na makombora tena yenye teknolojia hafifu?
Nilliswma Katika midumo ya kishamba ni pamoja na thaad. Inavyopamvwa na west median utadhan ni mfumo wa maana sana. Mfumo gain unaendeshwa na watu 100
 
Mimi nina wasiwasi hii ni mipango ya Israel wenyewe kutengeneza mazingira ipigwe ili wapate sababu ya kuishambulia Yemen rasmi. Kama ilivyofanya kwa Hizbullah wa Lebanon
Hapo kweli itakuwa mtu anatafutiwa sababu atolewe nguo za ndani hadharani!! Hivi hawaoni majirani zao wanavyoteseka.
 
Kumbe hujui kabisa Kiingereza.

14 people were lightly hurt, most of them from broken glass, kwa Kiswahili inakuwa ni uharibifu mkubwa? Nendeni shule mkasome. Kama hata lugha tu hamuelewi, nini ambacho mnaelewa?
Waisrael hata uwapige nuclear,hawafi isipokua light injuries from debris, fragments
 
Hivi Marekani si alifunga mfumo wa THAD wenye jukumu la kukabiliana na makombora kama hayo ?
Inawezekanaje kieneo kidogo kama Israel kilicho jaa kila aina ya takataka za ID zinazo pambwa kuwa ni bora kiwe kina shambuliwa na makombora tena yenye teknolojia hafifu?
Mfumo upo saudi arabia na houthi walibutua mitambo ya mafuta
 
Taarifa umeiweka kinafiki sana kichwa cha habar kinasema makombora ili Hali ni kombora Moja Tena limelipuka sehemu ya wazi.
Sehemu ya wazi na changarawe zikaruka hadi sehemu isiyo wazi na kujeruhi watu
 
Nawewe jamaaa wenzio awapendi izi habari wao wanataka kusikia Israel inatwanga inapiga sasa kumbe nao wananyooshwa!!! Afu kuna jinga moja linakuja na UZi wa mapambio Eti Iran ingekuwa ndio Israel kuna watu wangefuraiya mijitu kweli yani Iran ndio inaikosesha Aman israel miaka na miaka wkt uko Iran ipo tulivu swafiiii na full Aman sijui nivile Israel inavicha ukweli wa kipigo inachopekea ndio watu wajinga wanadhani. Israel niseem nzuli kuishi. Kumbe apana tena Apana siwezi na atuwezi ishi ktk nchi yoyote mnatakiwa mkimbilie kwenye mashimo kama panya. Israel ishafeli hewani DFNS. Kwasasa inaendeoea kupigwa au marekani itakimbilia UN kama ilivokuwa kwa Hezboollah
Wamemuuliza kingereza alipata ngapi O level?
Sijui wana maana gani hawa?
 
Mimi nina wasiwasi hii ni mipango ya Israel wenyewe kutengeneza mazingira ipigwe ili wapate sababu ya kuishambulia Yemen rasmi. Kama ilivyofanya kwa Hizbullah wa Lebanon
wasi wasi wa kifala...houthi hawajaanza kuipiga tel aviv leo wala jana
 
Back
Top Bottom