Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
December ina shida gani..[emoji1787][emoji1787]Mm nilishawahi kuumizwa na breakup moja tu ya 2017dec.
Baada ya hiyo sidhani kama kuna nyingine itauniumiza.
Afu siku hizi mbona mambo ya kuachana yanabadilika kidigital zaidi? Yaan ni simple mno .
Mara unastukia mtu hajakutafuta siku inapita nyingine inapita ndo basi tena.
Mm nahisi siku hizi tunaachana kisomi zaidi bila kuumizana wala maneno.
Au nadanganya ndugu zangu? Nyinyi mnaonaje breakups za siku hizi?
Mbaka saiz hakuna demu nileyekutana naye,, nika fall in love ,
Kiasi kwamba nikiachw naumia,
Huwa nawashangaa Sana watu wanaolia kisa mapenzi,
Yaan mm nikion dalili tu n mtoa moyoni fasta yaani naheshimu Sana hisia zangu ,
Nazi protect Sana, afu viti vidog Kama mapenz vije viniumize,
Hua siamini kama kuna kuacha wala kuachwa, naamini kuna kuachanaYan uwe wewe ndo umeanzisha au mwenza ndo kaanzisha, the moment unamaliza kusema tuachane kinaanza kipindi kigumu sana, hakuna mwanaume wala mwanamke, sema ngoja nione mwisho wake.
Mapenz magumuMaumivu ya mapenzi ni noma kaka. Me sijawahi kuachana na mke wangu na sikuwa najua yale maumivu ambayo watu wengi wamekuwa wakiyaimba kila leo. Kuna muda ulifika penzi letu likapitia dhoruba fulani kali, aiseeh acha kabisa yani kazi chungu, Simu chungu, hutamani kufanya chochote kile na usiombe ukutane na picha zake.
Ukiachika, angalau uwe vizuri kiuchumi na uwe na kampani kubwa ya watu wa maana, kidogo inasaidia. Ila ukiachwa alafu uwe fukara daaaah[emoji35
Pole sana,ni kawaida katika mahusiano yoyote yale kuumizwa,.muda utaamua yote hayo us'konde wala nn.. au siyo?
[emoji23]Inategemea mmekaa muda gani,kuna kademu nimetandika juzi na jana leo ,nmekambia tuachane coz kashaanza kuniita mume tuna siku mbili tu..bumbaaaaaaavu