Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

Ukiachwa achika huko kutokukubaliana na matokeo ndicho kinachokuja kuwaumiza baadae!! Kwanini uwe king'ang'anizi kwa mtu ambae tayari ashaonesha kutokukupenda anymore??? Ukiachwa achika sheikh.
 
Kifuani mwako amejilaza, kichwani mwake akuona kilaza" Damn it
It Hurts believing mpo "on same page ,While in reality mwenzio yupo side ways"
 
Kuna ile mlikua hamuwezi pitisha siku bila mawasiliano ila taratibu mawasiliano yakaanza kupungua

Hata ipite siku kadhaa bila mawasiliano unaona sawa tofauti na mwanzo ilivokua ngumu kuvumilia na kujikuta unawashwa washwa kumcheki

Ila kila unapojipa moyo umemove on unataka kukata ukaribu wa mawasiliano mwenzako anaibuka na kuona unamtenga ilihali yeye ndo tatizo kutokana na ubze wake
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakukumbusha tu, kwenye mapenzi hakunaga ubusy, ukiona mtu anasingizia yupo busy jua hajakupenda. Na soon mtaachana
 
Mimi mwenyewe niliwahi kumuacha demu fulani alikua ananipenda balaa. Aisee alibembeleza huyo, alilia mpaka mwishoni nikamuonea huruma nikaamua kumrudia.

Alipoona nimekolea kisawasawa kwenye mapenzi akanipiga chini, kanilamba block mitandao yote, simu hapokei na akakata mawasiliano full!! Nilidata.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]safi
 
Yan uwe wewe ndo umeanzisha au mwenza ndo kaanzisha, the moment unamaliza kusema tuachane kinaanza kipindi kigumu sana, hakuna mwanaume wala mwanamke, sema ngoja nione mwisho wake.

Katika ambacho haijawahi kunisumbua ni kuacha au kuachwa. Huwa ni kama kunipunguzia mzigo fulani kwangu hivyo nakuwa huru zaidi
 
Lucas mwashambwa hivi ushawahi kuachwa je ulimsifia kama unavyosifia hata uozo wa serikali hebu tupe experience yako mzee wa kusifia matope
 
Kama ilivyo adha na taadhima kwenye mapenzi hakuna bingwa!unaweza ukawa bingwa leo lakini hauwezi kuwa bingwa milele!

Kabla haujafa hujaumbika!katika maisha usije ukasema kamwe sitafanya kitu fulani!
Bali sema Mwenyezi Mungu naomba nisaidie ama niepushe nisifanya jambo fulani maana binadamu ni kiumbe dhaifu ana mapungufu yake!

Mimi niliwahi kuapa kamwe sitawahi kuja kurudiana na Ex girlfriend yeyote yule kwa namna yeyote ile!

Na kweli nilikuwa bingwa kwa muda fulani ila baada ya miaka 15 ya ulimwengu wa mapenzi na wanawake tofauti tofauti sikuwahi kumrudia ex girlfriend!

Ila sasa iliwahi kunitokea nikamuacha demu mmoja bila sababu za msingi kwa kujua mimi nipo fiti tu mapenzi hayanababaishi aisee gafla nilianza kukonda kila nikimsahau hasahuliki (labda uchawi ulitumika,maana wanawake wachawi sana wa mapenzi)mara demu baada ya miezi miwili akaanza kumpost baby wake nikazidi kuumia futa picha zote tulizopiga,block moja matata lakini aah!wapi maumivu per day vile vile!

Niliteseka miezi mitatu nikaona cha kufia nini!

Nikaenda kumuomba turudiane kwa vile alikuwa na yeye bado ananipenda jamaa akachezea kibuti matata!

Kipindi hicho cha miezi mitatu nilikuwa na girlfriend mwingine ile nilikuwa sijusikii chochote hata nikilazimisha kumpenda nashindwa!

Je, na wewe ulishawahi kushindwa ku move on? Ilikuwaje?
kwa iyo miezi mitatu jamaaa akachapa na kuifinya kisawa sawa.
 
Mapenzi yatakutesa endapo utaendelea kuwa mwaminifu kwenye hayo mahusiano.
Make sure una mpenzi zaidi ya mmoja unless umeolewa, baki njia kuu.
 
Mm nilishawahi kuumizwa na breakup moja tu ya 2017dec.
Baada ya hiyo sidhani kama kuna nyingine itauniumiza.

Afu siku hizi mbona mambo ya kuachana yanabadilika kidigital zaidi? Yaan ni simple mno .

Mara unastukia mtu hajakutafuta siku inapita nyingine inapita ndo basi tena.

Mm nahisi siku hizi tunaachana kisomi zaidi bila kuumizana wala maneno.

Au nadanganya ndugu zangu? Nyinyi mnaonaje breakups za siku hizi?
Ila zinashangaza tukimisiana tunarudiana!! Aloo kweli tupo uchumi wa buluuu
 
Hii kitu ndo napambana nayo aisee inanikata sana maini kibaya zaidi tulikuwa marafiki kabla ya kuwa wapenzi so tulijenga bond flani ivi amazing
kwa mara ya kwanza nimeshindwa kabisa ku move on mapenzi yanauma afu panapouma hapaonekani
Nimemwachia Mungu,Mungu naye ameniachia mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahaha, Alooo nimecheka kinyama hapo mwishoni, hahahaha
 
Back
Top Bottom