tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Daaah kuna watu mnalazmisha upweke,mimi niko tofauti wiki ni nyingi nasahau na kuhamia kwingineYan uwe wewe ndo umeanzisha au mwenza ndo kaanzisha, the moment unamaliza kusema tuachane kinaanza kipindi kigumu sana, hakuna mwanaume wala mwanamke, sema ngoja nione mwisho wake.
Hakuna kitu kama cha kusema psychologically (prepared or what?). Kila mmoja wetu ana uwezo wake wa kuhimili maumivu ya kuachana. Usijifanye mbabe kwa vile hayajakufika!Hii ni nzuri sana psychologically.
nimecheka ulivyo ni tag....mapenzi ayaache jinsi yalivyo na tukiingia kwenye mahusiano tutegemee lolote linaweza kutokea.
[emoji23][emoji23] kuna mtu namuona kapigwa spana na rafiki yangu hadi sio poa. Mke anaachwa huku nasikitika mimiSpana [emoji1787][emoji1787]
Legacy ni parefu bana weeee.
Acha tukutafutie neno ambalo haliku mwambafy hivyo.
Legacy iyo quio?!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna ile mlikua hamuwezi pitisha siku bila mawasiliano ila taratibu mawasiliano yakaanza kupungua
Hata ipite siku kadhaa bila mawasiliano unaona sawa tofauti na mwanzo ilivokua ngumu kuvumilia na kujikuta unawashwa washwa kumcheki
Ila kila unapojipa moyo umemove on unataka kukata ukaribu wa mawasiliano mwenzako anaibuka na kuona unamtenga ilihali yeye ndo tatizo kutokana na ubze wake
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]safiMimi mwenyewe niliwahi kumuacha demu fulani alikua ananipenda balaa. Aisee alibembeleza huyo, alilia mpaka mwishoni nikamuonea huruma nikaamua kumrudia.
Alipoona nimekolea kisawasawa kwenye mapenzi akanipiga chini, kanilamba block mitandao yote, simu hapokei na akakata mawasiliano full!! Nilidata.
Mamaae kamlogeeSince mwaka jana mwezi wa 5 mpka leo najarbu ku move on nashindwa na mbaya zaidi nmepata habari soon tu anaoa [emoji29]
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Sasa mbona unajiliza huku mkuu [emoji3][emoji28]magari yanaweza kuwa mengi mjini na usimiliki hata moja ndio hivyo kwenye mahusiano pia
Katika ambacho haijawahi kunisumbua ni kuacha au kuachwa. Huwa ni kama kunipunguzia mzigo fulani kwangu hivyo nakuwa huru zaidiYan uwe wewe ndo umeanzisha au mwenza ndo kaanzisha, the moment unamaliza kusema tuachane kinaanza kipindi kigumu sana, hakuna mwanaume wala mwanamke, sema ngoja nione mwisho wake.
Bro haujapenda ulikua unazuga tu weweDaaah kuna watu mnalazmisha upweke,mimi niko tofauti wiki ni nyingi nasahau na kuhamia kwingine
kwa iyo miezi mitatu jamaaa akachapa na kuifinya kisawa sawa.Kama ilivyo adha na taadhima kwenye mapenzi hakuna bingwa!unaweza ukawa bingwa leo lakini hauwezi kuwa bingwa milele!
Kabla haujafa hujaumbika!katika maisha usije ukasema kamwe sitafanya kitu fulani!
Bali sema Mwenyezi Mungu naomba nisaidie ama niepushe nisifanya jambo fulani maana binadamu ni kiumbe dhaifu ana mapungufu yake!
Mimi niliwahi kuapa kamwe sitawahi kuja kurudiana na Ex girlfriend yeyote yule kwa namna yeyote ile!
Na kweli nilikuwa bingwa kwa muda fulani ila baada ya miaka 15 ya ulimwengu wa mapenzi na wanawake tofauti tofauti sikuwahi kumrudia ex girlfriend!
Ila sasa iliwahi kunitokea nikamuacha demu mmoja bila sababu za msingi kwa kujua mimi nipo fiti tu mapenzi hayanababaishi aisee gafla nilianza kukonda kila nikimsahau hasahuliki (labda uchawi ulitumika,maana wanawake wachawi sana wa mapenzi)mara demu baada ya miezi miwili akaanza kumpost baby wake nikazidi kuumia futa picha zote tulizopiga,block moja matata lakini aah!wapi maumivu per day vile vile!
Niliteseka miezi mitatu nikaona cha kufia nini!
Nikaenda kumuomba turudiane kwa vile alikuwa na yeye bado ananipenda jamaa akachezea kibuti matata!
Kipindi hicho cha miezi mitatu nilikuwa na girlfriend mwingine ile nilikuwa sijusikii chochote hata nikilazimisha kumpenda nashindwa!
Je, na wewe ulishawahi kushindwa ku move on? Ilikuwaje?
Ila zinashangaza tukimisiana tunarudiana!! Aloo kweli tupo uchumi wa buluuuMm nilishawahi kuumizwa na breakup moja tu ya 2017dec.
Baada ya hiyo sidhani kama kuna nyingine itauniumiza.
Afu siku hizi mbona mambo ya kuachana yanabadilika kidigital zaidi? Yaan ni simple mno .
Mara unastukia mtu hajakutafuta siku inapita nyingine inapita ndo basi tena.
Mm nahisi siku hizi tunaachana kisomi zaidi bila kuumizana wala maneno.
Au nadanganya ndugu zangu? Nyinyi mnaonaje breakups za siku hizi?
Niambie mwenyekiti, mpaka hapa naomba maoni yako!! Katibu wako ninukuuNimesoma komments zote mpaka hapa!
Hahahahahahaha, Alooo nimecheka kinyama hapo mwishoni, hahahahaHii kitu ndo napambana nayo aisee inanikata sana maini kibaya zaidi tulikuwa marafiki kabla ya kuwa wapenzi so tulijenga bond flani ivi amazing
kwa mara ya kwanza nimeshindwa kabisa ku move on mapenzi yanauma afu panapouma hapaonekani
Nimemwachia Mungu,Mungu naye ameniachia mimi [emoji23][emoji23][emoji23]