Breakup ya kwanza ilikuaje?

uzur n kwamba tumbo na moyo havihusiani bwan πŸ˜‚πŸ˜‚ebu imagine nyama aah napenda sana misos mizur mizur ndo ilkua mingi apana nilchagua kulaπŸ™ŒπŸΎ
Ndo maana nikasema kila mtu alipita njia yake! Ungeachwa usingepata appetite ya kula, hakuna msosi utakua delicious kwako,🀣
 
Wife ex wife alijua unapitia nini, wengi they don't bother tena anafurahi uumie!
 
Miaka hiyo kale katoto kaliniacha bila sababu nilishangaa kanasema "I DON'T LOVE YOU ANYMORE I WAS PRETENDING F0R SO LONG".... Aisee maumivu yake yasikie tu kiliuma kinyama. Nenda sana beach kupiga makelele maumivu yatoke. Ilinichukua mwezi kukaa sawa. Kajinga sana kaleπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: EEX
Hujakutwa na jamaa afu nawe ukakubali umezama kwake.
Mbona utasema, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yeah sure,sijawahi tena kuumia na kuna siku tulikutana somewhere we even shared a room ila hata kusisimuka hakuna it was as if am with my sister...
that's it....ukitembea mbele nenda usirudi#gentleman code
 
Hujakutwa na jamaa afu nawe ukakubali umezama kwake.
Mbona utasema, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nikoje udugu, nikimpenda mwebrania ila akianza kunionyesha red flags mapema naanza kumsoma kwa herufi kubwa na biashara inaishia hapo..!! Kinachobaki ni kufake mpk atakapoona yy ajitoe muda huo mimi nishamtoa kitambo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Niliingia kwenye mahusiano nikiwa mdogo, kwa kifupi nilizama kwa jamaa, ghafla bin vuup, jamaa ananimwaga tena ananitema kavu kavu.

[emoji24][emoji24][emoji24] nusu watangaze coca ameanza uzezeta km sio undondocha.

Ashukuliwe kijana M, alikuja kwangu km ametumwa kwa lengo maalumu, alinibadilisha fikra, mtazamo, mawazo, na akanionesha uhalisia wa maisha ya mahusiano, akanijenga msimamo, na akafundisha maisha namna yalivyo.

Popote ulipo M, ubarikiwe zaidi na zaidi, natamani 1 day tuonane ili nikushukuru kwa yote ulioni tendea, bila wee Leo nisingekua mie na sio hapa nilipo.

....mapenzi ya kweli yapoo....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii?
 
Ujinga huo na kujiendekeza unapendaje toto la mtu hafu unakuta ana bichwa kubwa km tofari 🀣🀣🀣🀣
 
Ujinga huo na kujiendekeza unapendaje toto la mtu hafu unakuta ana bichwa kubwa km tofari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu yule shetty wa mama mkwe, nilizama haswaaa. Yaan wee acha tyuuh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii?
Kuna shem wako anaomba kila siku ajirudishe kashaniweka vikao mpk kachoka 🀣🀣🀣🀣
Nguo zake nilichoma moto zote na kwangu nimempiga marufuku.! Nishamblock mpk nimechoka nimeamua niache..!!
Hapo kati nikaanzisha husiano la mitandaoni nalo limebuma mapema 🀣🀣🀣

Ss hivi kuna mwebrania namsikilizia aliniapproach kitambo ananisumbua mjukuu wa Queen Elizabeth yupo copper belt hapa ndo nataka nimpe nafasi ila huyu napanga nichukue na mbegu nizae ka half cast kangu ntulie 🀣🀣🀣🀣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu yule shetty wa mama mkwe, nilizama haswaaa. Yaan wee acha tyuuh
🀣🀣🀣🀣 Pole udugu mapenzi yangekuua udugu wangu, ss hivi usipende sana bana
 
Utalia kuliko huyo mtoto utakae mzaa[emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao wajukuu wa Elizabeth, chukua mbegu fastaaa, ila umtunze vzur, sio anakua half cast koko utasema katelekezwa na m German bhana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pole udugu mapenzi yangekuua udugu wangu, ss hivi usipende sana bana
Sahivi mda wa kupenda ninao sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee siogopiii?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao wajukuu wa Elizabeth, chukua mbegu fastaaa, ila umtunze vzur, sio anakua half cast koko utasema katelekezwa na m German bhana.
Udugu em niache umenifanya nicheke πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo mjukuu wa malkia ananipenda hajielewi ni mimi kubonyeza kitufe cha kukubali biashara iishe.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…