Breakup ya kwanza ilikuaje?

Mi nliumia ile mara ya kwanza kupenda nlisota sio powa nlikuwa nalala usingizi flan ambao unakua umelala lakini Mtu akikuita unaitika, vinywaji vyote vilibadilika ladha mdomoni Mwangu, kila Kitu nliona kero hata Mkono wangu ukigusa shingo nliona kama nakereka usingizi hamna kbs
 
Huo tunaita ubatizo wa moto 🔥
Mwanaume sharti apitie hiyo mara moja, na mara moja tu! Baada ya ubatizo unakuwa senior kamili sasa tayari kuishi nao kwa akili.
Hakika mkuu, inakufanya uanze kuangalia wanawake na mahusiano kwa jicho la tatu. Ambalo ni ngumu sana kuwa nalo iwapo hujapitia hizi stage.
 
Hakika mkuu, inakufanya uanze kuangalia wanawake na mahusiano kwa jicho la tatu. Ambalo ni ngumu sana kuwa nalo iwapo hujapitia hizi stage.
Mimi baada ya kuachwa na mwanamke wa pili tena ambaye tumefanya mengi halafu akasema hakuna anachojivunia aiseee lile pigo sitalisahau. Mpaka sasa naweza kuja kuoa ila itakua ngumu sana kumtendea mwanamke kama nilivyojimaliza mwanzo.
 
Ghafla akaniambia via sms kuwa yuko lodge na ampendaye,nikadhani utani nikapiga simu akapokea afu akampa njemba ikaniambia "stop bothering my queen"afu na yeye akaniamba mazoea yafe,just ghafla tu na hatukuwa na tofaut,aisee nikaenda kumweleza rafik yangu,alisikitika sana maana nilikua mnyonge vibaya mno,ningezubaa ningekufa kwa mawazo na njaa,mazoez yakaanza kwa kasi,gym na mimi afu na hiphop hardcore nikamsahau yule manzi,tangu hapo sijawah kuwa na mwanamke mmoja japo nimeoa ila vya pembeni sikosi!
 
Hapo ungemeambia nae awe anahjsafisha vizuri,ndo maana hukua na mzuka nae,,hako kambinu kumwambia awe anajisafisha vizurinilikatumia kakaleta matokeo ilimuuma,ila kiukwel hakua mchafu
 
haku kutafuta??
 
Huo usingizi mkuu hata mimi nauelewa🤣🤣 unakua nikama haulali bali unapumzisha mwili tu.
 
Mimi baada ya kuachwa na mwanamke wa pili tena ambaye tumefanya mengi halafu akasema hakuna anachojivunia aiseee lile pigo sitalisahau. Mpaka sasa naweza kuja kuoa ila itakua ngumu sana kumtendea mwanamke kama nilivyojimaliza mwanzo.
Mapenzi hayana formula mkuu lazma kunakuumizwa na kuumiza!
 
Em subiri kwanza…. Mkono ukikugusa unaona nini??!!! 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie kupenda gani huko mtakuwa machizi mjue!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…