Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nlikuwa mgeni kwe industry ila yy alishakua mkongwe huko, yule kenge acha tu...Kuna namna nlisota🤣Kuna namna nahis kama naumwa afu sijui panauma wapiEm subiri kwanza…. Mkono ukikugusa unaona nini??!!! 🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie kupenda gani huko mtakuwa machizi mjue!!
🤣🤣🤣🤣🤣 Pole sana, tatizo ulikutana na master shivoMm nlikuwa mgeni kwe industry ila yy alishakua mkongwe huko, yule kenge acha tu...Kuna namna nlisota🤣Kuna namna nahis kama naumwa afu sijui panauma wapi
sipendi siku hiziWeka ushuhuda wako hapa na wewe
Hahaha, uka kimbia distraction.Nilimblock.
Au ndio ng’ombe wa mnada 😂😂😂sipendi siku hizi
🤣🤣🤣 ipo siku utalia na kusaza menoPoleni sana wanaume kumbe ndo mnavyoumiaga hivi?? 🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu atokee mwana wa Israel mmoja anikoseshe amani, nilie nihuzunike nishindwe kula. Tatizo mimi msg za mapenzi nazisoma kwa herufi kubwa ndiomana hata mtu akisema tuachane hainiumizi..!! Namwambia kwenda mwana kwenda 😂😂😂😂
Mgote complicator plus mapenzi, kama nakuona vitu vinavyo vapour kichwani 🤣😂I had my one and only in high school. My academic performance plummeted. Nilikuwa nikishika Mgote sekunde 30 tu mawazo yanahama.
🤣🤣A lot of abnormal activities
1. Kushika kwanja kufyeka majan hata nyakati za usiku
2 kuswali swala ya alfajiri msikitin na haikuwa kawaida yangu
3 kuanza kusoma madrassa na kumrudia mungu kwa fujo
4 Kuwa motivational speaker wa mitandaoni 😀😀
MAPENZI KONYO SANA
Dj naomba nipigie Kuachwa ya Kahlid Chokoraa.
Nimelia msiba wa mama yangu inatosha sio mtu mzima mwenzangu mwenye meno 32 na mengine yaliyotoboka na kuoza anilize kijinga..!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ipo siku utalia na kusaza meno
Umevunja had line kwasababu ya binadamu mwenzio?? 🤣🤣🤣🤣Siwez kusahau ile the situation mpaka leo hiyo siku nilipiga simu kuanzia morning mpaka usiku saa sita i was know atakuwa hostel simu ilipokelewa na niliskuskia sauti za mahaba za mwanamke wangu akisema JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala me hard babe tamu unajua kutamba vizuri na akiendelea kulia akisema taratb naumia alimtaja mpk jina mwana.
Sikutaka kuamini kama ni yeye na nilijua sauti ni yake ila moyo unasem si yeye huyo itakuwa it just a video kuna mtu anagaalia then simu ilepokelewa bahati mbaya na do the way the next day alivyoniambia na nikamuelewa na kumsamehe nilikuwa kama fala [emoji23][emoji23]
Ila mapenzi hufa baada ya upendo kuishia ila sio kwa kucheatiana. Niliamua kumuacha kimya kimya na nilivunja laini mazima na kuanza maisha mapya. [emoji28]
🤣🤣🤣🤣 unataka kusemaje? Kwamba ni vile au??Aisee nili pendwa na binti mmoja tu, and sad she met with an accident.
Hayo mengine ni ku hype hype tu, uta nijuaje akati huja wahi hata kuniona🤣😂