ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kumbe wewe ni mzee2007 natoka JKT ikawa mara ya mwisho kuonana na farida wangu......
Akidai nilikua na mwanamke mwingine jeshini....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wewe ni mzee2007 natoka JKT ikawa mara ya mwisho kuonana na farida wangu......
Akidai nilikua na mwanamke mwingine jeshini....
Chai ya mwaka hii😂😀😀2007 natoka JKT ikawa mara ya mwisho kuonana na farida wangu......
Akidai nilikua na mwanamke mwingine jeshini....
Nope, katoto hako🤣Kumbe wewe ni mzee
Mtoto wa elfu 2?Nope, katoto hako🤣
Mkubwa uko 75+ au??Mwaka 1964 naingia Tabora Boys nikakutana na Stella mtoto wa sekandi masta. Hata sijui ilikuwaje lakini aliponipiga chini kidogo niache shule aisee. We were just young innocent souls searching for our place in this vast universe. Dah! Mapenzi nyie acheni tu!
Naheshimu privacy yake, but ni mdogo.Mtoto wa elfu 2?
Acha kabisa alafu nikawa mr nice guy 😂Ulikuwa njuka 🤣🤣🤣
Hiyo ilikua zilipendwa, siku hizi nna fake ID na fake love 😂Za ujenzi wa taifa 😜
Mimi ukinitumia msg “ baby i love you 🥰” naisoma kwa dharau na kwa herufi kubwa tena kwa kisukuma “BEBI HAI LAVU YUHU👹” basi wala sikutilii maanani sasa hata ukiniacha ntaumia vipi??
Wewe kuanzia ss hivi anza kusoma msg kwa mtindo huo uone km utasumbuka kupenda hovyo 😂😂😂😂😂
Tatizo unasoma kwa hisia na kwa sauti ya mtumaji kwann mapenzi yasikutese??
Nasikia uli tumia mkorogo, ili uwe black mamba 😂😂Ilikua ni hatari sana unahisi moyo umebandikwa jikoni.
I will turn 78 in December this year. I am blessed! 🙏🏿Mkubwa uko 75+ au??
Vijikuu vya Lilith hatuangalii Mr nice guy ohh 🤣Acha kabisa alafu nikawa mr nice guy 😂
Mkuu! Mungu anakuonaI will turn 78 in December this year. I am blessed! 🙏🏿
😂 sijawahi tumia hata mafuta.Nasikia uli tumia mkorogo, ili uwe black mamba 😂😂
Aisee sema ukweli🤣😂, nusu albinoo 😃🤣😂 sijawahi tumia hata mafuta.
Ukitaka kuenjoy mahusiano ishi kifake fake wakati mtu anajua ana moyo wako kumbe unamng’ong’a na kumcheka pembeni 🤣🤣🤣🤣Hiyo ilikua zilipendwa, siku hizi nna fake ID na fake love 😂
Nilikuwa sijuagi 😂Vijikuu vya Lilith hatuangalii Mr nice guy ohh 🤣
Kweli ngozi inababukaAisee sema ukweli🤣😂, nusu albinoo 😃🤣
Love ipo ila sijui ni kwanini ukiwa tayari kwa mtu fulani na ukamuonesha ule upendo wenyewe yeye anakuona fala hasa nyie wanawake.Ukitaka kuenjoy mahusiano ishi kifake fake wakati mtu anajua ana moyo wako kumbe unamng’ong’a na kumcheka pembeni 🤣🤣🤣🤣
Ndio punguza kupenda mtu hovyo anza kujipenda mwenyewe, mahusiano yasiyo na afya achana nayo utakufa na preshaLove ipo ila sijui ni kwanini ukiwa tayari kwa mtu fulani na ukamuonesha ule upendo wenyewe yeye anakuona fala hasa nyie wanawake.