Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Matumizi ya teknolojia yanapochukua nafasi kila mtu anategemea ufanisi kuongezeka!
Hii imekuwa kinyume kabisa kwa BRELA, inaumiza, kuleta hasira na hasara sana kwa Wafanyabiashara.
Mwaka jana mwezi wa nne 2020 nilianza mchakato wa kuhuisha taarifa za kampuni yangu ili kuomba leseni za biashara katika taasisi zingine ,mpaka leo bila mafanikio!
BRELA kila ukiwatumia nyaraka wanazotaka katika mfumo wao (ORS) ndani ya siku 3 wanakurudishia ufanye marekebisho mengine! Nimefanya marekebisho ndani ya miezi 10 mpaka nimechoka!
Nimepiga simu mara nyingi zinapokelewa na watu wa "customers' service" ambao pia inaonekana wako pale kwa malengo ya kupata mishahara tu mwisho wa mwezi!!
Nimewahi kuwauliza kama document mnai- assess kwanini msifanye hivyo kwa document nzima then mimi nifanye amendment once and for all! majibu yao ni ya kushangaza na hayana logic yoyote!
Wanaofanya document assessment inaonekana lugha ya kiingereza ( English) pia ni shida unless waniambie documents zinakuwa assessed na "System" au Robot !
Wanaandika sentensi fupi fupi na wala hawaandiki kukuelewesha mapungufu ya kurekebisha yalipo!
Mfano anakuambia," write the proper date " ! Unajiuliza ni date ipi na kwenye document ipi?! Maana unakuwa ume- upload documents nyingi na zenye tarehe nyingi na tofauti!!!
Nimehangaika BRELA toka mwezi wa NNE mwaka jana (2020) kwa kazi ambayo ilikuwa inanichukua siku 7 pale BRELA kukamilisha kipindi cha nyuma pamoja na URASIMU uliokuwepo!
Sasa haya maboresho ya BRELA maana yake nini?!
January hii wameniletea Invoice no.( control number) na nikajua nimekamilisha maana wamenifanyia assessment wao! Nimelipa zaidi ya milioni na nusu (Tshs.1.5 million ) .
Nikawapigia simu wakaniambia nia- upload pay in slip kwenye System (ORS) nikafanya hivyo!
Baada ya siku tatu 3 tena nimekuta wananiomba ni- upload tena document ambayo nilishawatumia!!!!!!!!!!!???????
Naona wameanza kuhuisha taarifa zangu upya tena !!!!!
Mwekezaji gani kutoka nje anaweza kuvumilia mambo ya ajabu ajabu kama haya!!!!!!
Wenzetu jirani wanasajili kampuni kwa muda wa masaa 24 lakini hapa kwetu mfanyabiashara yuko tayari kuhuisha taarifa zake na kuilipa Serikali fedha anazodaiwa lakini anaweza kuchukua mwaka mzima!!!!
Tusikimbilie kujiingiza kwenye mambo makubwa bila maandalizi ya kutosha!
Pia watu wengine waangaliwe sana kwenye hizi ajira za Serikali, wengi wanapenda na kulilia sana ajira lakini ni waganga njaa tu ambao hawana uwezo wa ku- deliver na si wabunifu katika kazi wanapopata hizi ajira!!!
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Godfrey Mwambe najua wewe ni mchapakazi na unajua maana ya Biashara na Uwekezaji kwani recently tu umetoka TIC tupia macho BRELA haraka hakuna kitu pale Nchi inapata hasara kubwa sana kwa uzembe !!!
Hii imekuwa kinyume kabisa kwa BRELA, inaumiza, kuleta hasira na hasara sana kwa Wafanyabiashara.
Mwaka jana mwezi wa nne 2020 nilianza mchakato wa kuhuisha taarifa za kampuni yangu ili kuomba leseni za biashara katika taasisi zingine ,mpaka leo bila mafanikio!
BRELA kila ukiwatumia nyaraka wanazotaka katika mfumo wao (ORS) ndani ya siku 3 wanakurudishia ufanye marekebisho mengine! Nimefanya marekebisho ndani ya miezi 10 mpaka nimechoka!
Nimepiga simu mara nyingi zinapokelewa na watu wa "customers' service" ambao pia inaonekana wako pale kwa malengo ya kupata mishahara tu mwisho wa mwezi!!
Nimewahi kuwauliza kama document mnai- assess kwanini msifanye hivyo kwa document nzima then mimi nifanye amendment once and for all! majibu yao ni ya kushangaza na hayana logic yoyote!
Wanaofanya document assessment inaonekana lugha ya kiingereza ( English) pia ni shida unless waniambie documents zinakuwa assessed na "System" au Robot !
Wanaandika sentensi fupi fupi na wala hawaandiki kukuelewesha mapungufu ya kurekebisha yalipo!
Mfano anakuambia," write the proper date " ! Unajiuliza ni date ipi na kwenye document ipi?! Maana unakuwa ume- upload documents nyingi na zenye tarehe nyingi na tofauti!!!
Nimehangaika BRELA toka mwezi wa NNE mwaka jana (2020) kwa kazi ambayo ilikuwa inanichukua siku 7 pale BRELA kukamilisha kipindi cha nyuma pamoja na URASIMU uliokuwepo!
Sasa haya maboresho ya BRELA maana yake nini?!
January hii wameniletea Invoice no.( control number) na nikajua nimekamilisha maana wamenifanyia assessment wao! Nimelipa zaidi ya milioni na nusu (Tshs.1.5 million ) .
Nikawapigia simu wakaniambia nia- upload pay in slip kwenye System (ORS) nikafanya hivyo!
Baada ya siku tatu 3 tena nimekuta wananiomba ni- upload tena document ambayo nilishawatumia!!!!!!!!!!!???????
Naona wameanza kuhuisha taarifa zangu upya tena !!!!!
Mwekezaji gani kutoka nje anaweza kuvumilia mambo ya ajabu ajabu kama haya!!!!!!
Wenzetu jirani wanasajili kampuni kwa muda wa masaa 24 lakini hapa kwetu mfanyabiashara yuko tayari kuhuisha taarifa zake na kuilipa Serikali fedha anazodaiwa lakini anaweza kuchukua mwaka mzima!!!!
Tusikimbilie kujiingiza kwenye mambo makubwa bila maandalizi ya kutosha!
Pia watu wengine waangaliwe sana kwenye hizi ajira za Serikali, wengi wanapenda na kulilia sana ajira lakini ni waganga njaa tu ambao hawana uwezo wa ku- deliver na si wabunifu katika kazi wanapopata hizi ajira!!!
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Godfrey Mwambe najua wewe ni mchapakazi na unajua maana ya Biashara na Uwekezaji kwani recently tu umetoka TIC tupia macho BRELA haraka hakuna kitu pale Nchi inapata hasara kubwa sana kwa uzembe !!!