mama chupaki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 940
- 765
scatec sehemu ninayofanyia kazi watu wanalia.Scatec.....
walivyoongia kichwa kichwa na wamepigwa za kichwa haswa.
Yaani hajifunzi mie nimeona poa tu,maana watu wanapenda kwa sadala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
scatec sehemu ninayofanyia kazi watu wanalia.Scatec.....
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hili li nchi lilivyo la ajabu ukute Bosi wa BRELA na mkewe wote wamepigwa pesa zao pia, wanaliwazana ujinga saa hizi.[emoji23]Ukweli waliotuma pesa kuwekeza walikatwa na tozo ya serikali... Na hiyo tunahitaji maelezo....
Waliopigwa hata wakiwaona hao mabosi wa Kampuni hawawezi kuwachujulia hatua yoyote,maana Kampuni yao ilikuwa unauza vifaa vya umeme!Hili li nchi lilivyo la ajabu ukute Bosi wa BRELA na mkewe wote wamepigwa pesa zao pia, wanaliwazana ujinga saa hizi.[emoji23]
Hoja nzuri sana. Kwann walipokuwa wakifanya upatu kinyume na maelekezo ya usajili wao hawakukamatwa?Ndio washajitoa hivyo. Cha ajabu jamaa walikuwa na matangazo kila sehemu. Kuanzia mabango barabarani mpaka matangazo ya kwenye TV...
Kwahyo wakati ina tangaza mtandaoni kupitia reseni hyo wao hawakuona mpk jamaa wana tembea baada ya kushba pesa za wa2?Same day, different shit.
Kutoka Deci, D9, Qnet & co bado watanzania hawajifunzi..
Acha waendelee kuliwa