Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Tunasubir kampuni nyingine ije wazee wa kudownload hela tuendelee tulipoishia
hyo inaishilia jombaaSahiv tupo na F.I.C sijui na wao watafunga lini ila sio haba tunapata pesa
Kwahyo tukae kimachalehyo inaishilia jombaa
Time will tell watawapa ofa nzuri mjaehyo inaishilia jombaa
Sexer lilikua suala la muda hili. na baada ya muda tu itakuja nyingine mwendo ule ule. Labda mamlaka zianze kweli kwa dhati kusikiliza na kufatilia mapema maana kimsingi watu hua wanaonya mapema sana mamlaka. lakini mambo haya hayawatishi watawala hivyo ndo huchukua muda mrefu kufanyiwa kaziKwamba LBL ilikua inahamisha hizo Pesa ?.
Kwamba hizo Pesa zipo kwenye akaunti za LBL lakini BRELA wameamua kuzifuta Kampuni hizo ,Ili Sasa wao ndio wazishikilie hizo Pesa?.
View: https://youtu.be/7Pb2eriJ36M?si=z2TlV8QSmS_qZ0Hp
Zipo mkuu nichek PMTunasubir kampuni nyingine ije wazee wa kudownload hela tuendelee tulipoishia
Mpaka nishituliwe na watu wangu wa karibu ndo naamin,maana nasikia sahv wabongo wameanza nao kutengeneza za kwaoZipo mkuu nichek PM
sijui lini watanzania watatokana na ushamba wa kutaka utajiri wa haraka bila ya kufanya kazi.Sahiv tupo na F.I.C sijui na wao watafunga lini ila sio haba tunapata pesa
Mbona ilikuwa inafamika hivyo, au kuna mtu alisema ni ya milele?!Sexer lilikua suala la muda hili. na baada ya muda tu itakuja nyingine mwendo ule ule. Labda mamlaka zianze kweli kwa dhati kusikiliza na kufatilia mapema maana kimsingi watu hua wanaonya mapema sana mamlaka. lakini mambo haya hayawatishi watawala hivyo ndo huchukua muda mrefu kufanyiwa kazi
Kwamba LBL ilikua inahamisha hizo Pesa?.
Kwamba hizo Pesa zipo kwenye akaunti za LBL lakini BRELA wameamua kuzifuta Kampuni hizo ,Ili Sasa wao ndio wazishikilie hizo Pesa?
View attachment 3260858
Mkuu kubali tu hela yako ishaliwaKwamba LBL ilikua inahamisha hizo Pesa?.
Kwamba hizo Pesa zipo kwenye akaunti za LBL lakini BRELA wameamua kuzifuta Kampuni hizo ,Ili Sasa wao ndio wazishikilie hizo Pesa?
View attachment 3260858