IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Aliyeanzisha huu uzi alikuwa fan wa timu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kuchoshwa na upuuzi wa Manchester United, naona umeamua kutafuta furah.Tukutane hapa mashabiki wa The Seagulls! [emoji838][emoji836]
Mkuu, na sisi Gunners tumo humuTukutane hapa mashabiki wa Chelsea na Man Utd walau tupooze machungu yetu..
Yeah BHA to the top. Come on Seagullssss
Acha upuuzi mkuu.All the best mkuu
Unyumbu ni laana
Usimalize maneno, kuna siku utatamani ufute hii kauli yako lakini haitawezekana.Pamoja sana.
"Mashetani Wekundu" yani jina tu ndo laana zenyewe hizo.
Hilo ndilo ninalo amini mimi.Mkuu, haya ni mapito tuu. Manchester ya asali na maziwa inarudi soon tuu hapo
Jana tumegongwa tena na Newcastle, tena pale pale kwenye vitofali vya kuchoma.Mara moja!? [emoji16]
Nilikuwa United tokea enzi za Fergie ila kinachoendelea hakieleweki.
Kuhamia Brighton sitegemei watashinda EPL kabla ya United ila ni rahisi kufurahia mchezo wa football ukishabikia lesser clubs maana kuna low expectations kutoka kwa mashabiki.
Mnafanya nini huku na wakati gari lenu linapanda kitonga na gia namba 5 bila wasiwasi. Acheni kutuchora mtuache na maumivu yetuMkuu, na sisi Gunners tumo humu
Mpaka kielewe mkuu.Sisi acha tufe na Man Utd
Mjuu leo umetoa boko kwa kauli hii.muanzilishi wa hii thread ndio wale malaya malaya aliowazungumzia mwalimu Nyerere
Manchester United.Aliyeanzisha huu uzi alikuwa fan wa timu gani
Huu Uzi haumalizi Novemba hiiNna uhakika Uzi huu
msimu ujao unajifia kibudu[emoji4]
Unasema haufatilii habari za nyumbu, hakabu matokeo yake unakua wakwanza kuyapata [emoji1][emoji1][emoji1]Jana tumegongwa tena na Newcastle, tena pale pale kwenye vitofali vya kuchoma.
Wametupasua goli 3 bila, yani ni haibu mpaka basi.
Bora umuangalie Azizi K, kuliko kumuangali Fernandez.
Mkuu huwa nayapata kupitia live score, hawa jamaa sijui vipi, siku ikicheza Manchester United lazima wanipe up date utadhani nimewaomba.Unasema haufatilii habari za nyumbu, hakabu matokeo yake unakua wakwanza kuyapata [emoji1][emoji1][emoji1]
Sema siingia Kule jukwaa la nyumbu Kule unyumbuni Hadi team ikae vizuri