Mimi Kama fan wa Di Zerbi nitakuwepo na humu kunsapoti Di Zerbi
Moja ya makocha ambao Pep ameuomba uongozi amrithi akiondoka
Kwa wasiojua ,Pep ameiga baadhi ya vitu kwa Di Zerbi
Di Zerbi ana lack kitu kimoja tu ili Brighton iwe tishio Sana
Ana lack kitu tunaita Rest defence
Ndio maana wanaoifunga Brighton Ni wale wanaokubali kuwa underdog ,ukisema Brighton Ni timu ndogo tu utakula hata mkono na mpira mwingi utapigiwa
Brighton vs man City Etihad , Pep alikuja na mpango wa man to man ,
Siri ya Di Zerbi huwa anaacha mtu mmoja kama spare man,
Ukicheza na Brighton Kama unajijua huwez kupress acha kabisa ,ukifanya press isiyo sahihi wanakuadhibu
Huyo ndiye Roberto Di Zerbi ,mpe wale wachezaji wa man u anagombea ubingwa EPL
Dunk , Gross wanakwambia Di Zerbi kawaonesha njia nyingine ya football
Kaangalie Mahojihano ya Kevin Prince Boateng anasema akiwa na miaka 32 , pale Sassuolo,Di Zerbi alimfanya awe Bora ,anamtaja Kama kocha Bora , alimfanya mtu Kama kina locatteli watu waone ubora wao .
Anakwambia anawafundisha mpira kwa kuzingatia vitu vidogovidogo Sana ,kiasi kwamba mchezaji ukiwa uwanjani unakuwa na option had 4 zakupiga pass
Ndio maana hutakiwi kuwa press Brighton Kama unajijua huwez kupress kwa usahihi
Bajet yake pale Brighton Ni €30m tu
Kaondoka Trosaard, Caicedo ,MacAllister timu bado inacheza vile vile