Bring back our Currymastorytz!!

Bring back our Currymastorytz!!

Na hizi mvua unakuta yuko mahali amejifungia na njemba wanagegedana tu
 
Tushusheni nusu mlingoti kuonyesha ishara ya HESHIMA

Kwa mmbea wa TAIFA kutoweka paspojulikana

Natangaza rasmi JUMAPILI itakua siku ya mapumziko na maombi

Hamna kwenda kazini wote ila kwa wafanyabiashara nyie nendeni tu

Mlio serikalini JUMAPILI nimesema ni siku ya mapumziko na maombi
 
Kuanzia leo saa Tisa Mpaka jumatatu kabla ya saa 12 jion atakuwa amepatikana teyar
 
Juzi tu hapa alihojiwa na wasafi tv kuhusu ishu ya menina na mwinjaku akasema alitumiwa video na aliziangalia mwanzo mwisho.. so sishangai Jamhuri kufanya yake kupitia cybercrime
 
24hrs sasa utata wa alipo mbeya wa social media haonekani na hizi taarifa ni rasmi sasa kutoka ndani ya familia ya mwanadada huyu maarufu mitandaoni especially wa Instagam kuwa hajaonekana tangu juzi usiku alipomsalimia mama yake kwa njia ya simu.

Kuna taarifa za kutatanisha za alipo kwa saa 24 zilizopita mwandishi wa habari na DJ maarufu anayefahamika kama @djcarrytz ama wengi wanamfahamu kwa jina la udaku la Carrymastory

#DiamondPlantinymz tusaidie kumtafuta mbeya wetu. View attachment 1236721
kafungiwa na bwana ake anagawa utamu tulieni tu
 
Namuombea sana awe mzima na apatikane niliamua kumfollow insta baada ya kusikia habari zake ila baada ya kuona anachofanya nilimkimbia haraka sana binafsi nawachukia watu wanaofanyia wengine bullying kwa kigezo cha kufichua maovu
Akipatikana tafadhari sana aache huo mtindo watu aina yake wote niliwakimbia akiwemo Sudi na Manara
 
Namuombea sana awe mzima na apatikane niliamua kumfollow insta baada ya kusikia habari zake ila baada ya kuona anachofanya nilimkimbia haraka sana binafsi nawachukia watu wanaofanyia wengine bullying kwa kigezo cha kufichua maovu
Akipatikana tafadhari sana aache huo mtindo watu aina yake wote niliwakimbia akiwemo Sudi na Manara
See you there very soon. Jah bless all
 
Hii nayo ni issue kweli wangapi wanapotea huko hamtangazi. Kila mtu apambane na hali yake
 
Umbea alifanya ndio kazi yake huenda alifukua makaburi ambayo sio Salama.
 
Kasahau password ya account tu. Kuweni wavumilivu atarudi kuwakonga nyoyo wambea wenzake nini kinaendelea.
 
Anatafuta kiki tu huyo yupo amejificha ili ionekane ametekwa hana lolote huyo!

Carry mastory acha ujinga
 
Back
Top Bottom