Brings back Moses Lijenje campaign

Roho za wanaopotea zinaitesa sana serikali hii. "Bring back Moses".
 
Hivi uyu linjenje alikuwa bado mtumishi au aliacha kazi maana hapo sielewi.polisi kwanini wawape kichapo wenzao kiasi hicho
 
Wewe mkenya usiinglie mambo ya watanzania ukilinganisha na uharifu mnaoufanya huko Somalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…