Brings back Moses Lijenje campaign

 
Makomandoo mliostaafu wote na kufukuzwa KJ 92 fanyeni jambo kunusuru hili Taifa na aibu hii kubwa
Huu ni mjadala unaoojitegemea na ingekuwa vema kama ungeitendea haki kwa kuianzisha chapisho linalojitejemea. Naamini muitikio utakuwa mkubwa kwa jinsi Watz wamevyochoshwa na hawa walioaminiwa na wakakabidhiwa silaha. Matokeo yake wamepoteza uaminifu kwa umma. Hawaaminiki tena. Nazungumzia polisisiem
 

Jumbe Brown tushirikiane kumtaja Sirro kumrejesha Moses Lijenje:



akiwa hai na salama.

Uswahilini haukubaliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…