British PM - "Half of all the tea drunk in the UK comes to us from Kenya"

LOL all cooperative stuff you just mentioned are like going to the 🚻 in Tanzania, not only tea but almost all cashcrops have their well established cooperatives and laws of conduct, hilo la kiwanda cha billion 138 baki nalo wewe na hao waliouziana sababu hiyo hata kichaa ukimumdanganya atajua tu hizo fix
 
the smuggled Tanzanias tea by the name of Kenyas in the market is huge more than the actual Kenyas tea
 
Sasa kwa taarifa yako Mufindi Tea and Coffee ni kampuni ya kawaida sana na uzalishaji wake wa wastani hadi kidogo zipo kampuni kubwa Rungwe, Luponde ,Brooke Bond, Lugoda,Kilima,Wakulima Tea,Usambara, Chivanjee Msekela Tea Factories,tatepa, Ngwazi, Ambangulu, Chivanjee Tea Factory etc tuna viwanda zaidi ya 15 vya chai ambazo zote tutauza chai yake mnada wa Dar huyo mkenya wenu achukue tu kachai hako kidogo kuleta Mombasa ila lazima tuwalize ngoja tumalize uchaguzi tunahamisha mnada na mabenchi tunang'oa kabisa mpaka mnyooke jinga sana term hii lazima muielewe bongo kwamba sio ya kuchezea....Na Malawi Rais wao tushaongea nae chai yake atakuja kuuzia mnada wa chai wa Dar na bandari ya Bongo itakuwa primary kwa products za Malawi
Mufindi Tea factories zenyewe zinamilikiwa na wakalenjin wa Kericho,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magu na serikali yake hadi atoke mtakuwa mmenyooka...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
the smuggled Tanzanias tea by the name of Kenyas in the market is huge more than the actual Kenyas tea
In 2018, Kenya was the world's largest exporter and producer of black tea, with a total export value of USD $1,355,994,000 in packings over 3 kilograms.
Much of the tea grown in Kenya is processed using the crush, tear, curl method, making it suitable for use in blends popular in most black-tea markets, including India, Britain and North America. CTC tea has a homogeneous taste and a strong generic, bold "tea" flavor and is the base of most Indian tea blends as well as a significant portion of breakfast teas.

Kenya, the world’s biggest exporter of black tea, expects production of the leaves to rise about 20% by the end of the decade, as farmers harvest from new bushes, according to the industry regulator.

Output is projected to jump to 500,000 tonnes in 2020 from a projected 412,000 tonnes in 2017, after a drought damaged plants in most growing areas, said Samuel Ogola, head of the Tea Directorate. Most regions in Kenya received below 75% of their seasonal long-term average between March and May, according to the nation’s meteorological department.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…