Daaa!!Oxfam tena?!!Inahusikaje huku?mimi nafahamu hiyo ripoti ya karibu 0.0004%, ndio wamepata matatizo, hayo unayosema wewe under the carpet ni yako, kama ni under the carpet umeyajuaje wewe, mtu wa SIGIMBI?chanjo ipo against haki za binadamu sijakuelewa?!!acheni hizo hamuoni hata aibu ulaya sasa wameanza kupunguza vikwazo, ili maisha yarudi kama kawaida kutokana na ufanisi wa chanjo hizo, nyie bado mnakomaa tu na mawazo mgando?? Vitamin b complex, tu zina side effects kwa baadhi za watu sembuse chanjo?!!