British woman dies in Cyprus after AstraZeneca jab

British woman dies in Cyprus after AstraZeneca jab

Ni kwamba hata katika familia yako kuna watu ambao walipokunywa chloroquine waliwashwa mwili mzima, wengine walishindwa kuona vizuri na wengine hawakupata athari zo zote. Hivyo na wazi tunatofautiana kimaumbile na genes. Sasa wataalam wetu watueleze ni watu gani chanjo hizi zinawafaa na nani haziwafai.
Hiyo ndio hoja yangu kwamba waeleze ni watu gani chanjo haziwafai damu huganda ili kuepuka huku kuganda kwa damu kwa baadhi ya watu, inaonekana hili hawakulijua toka mwanzo sasa kulikubali ndio shida.
 
Oya Mleta Uzi ameturuhusu tuuchangie kwa Kiswahili au tunamuonyesha tu kuwa nasi Kiingereza tunakijua tu kama Yeye ila tumejisikia na tumependa Kuchagua kwa Kiswahili tulichokizoea na Kutukuka nacho?

punguza ulimbukeni
 
Masalia ya mwendazake bado yapo sana!!ali wa washbrain vizuri sana!! Yaani kati ya watu milioni 19 waliopewa chanjo hiyo ni 0.0004℅ ndio wamekumbana na tatizo imekuwa inshu kubwa!!!achana nao
Muache mzee wa watu apumzike kwa amani mataqo zako ww
 
Yote mawili yanaweza kuwa ndio yamechangia, na jingine la muhimu kabisa ni kutokana na waathirika wakubwa ni hao(wazungu)ambao kila rasilimali fedha na watu wanayo wao!!na serikali zao kukubali kutoa fedha nyingi kwenye tafiti za ugonjwa huo, kwenye makampuni husika, ndio maana unasikia asilimia 75ya chanjo zote zinamilikiwa na nchi 10 tu!!EU, ilitishia kuishitaki kampuni ya Astrazenica kwa kuanza kuuza chanjo kwa nchi nyingine nje ya umoja wa ulaya, wakati wao ndio waliwezesha kutoa pesa nyingi kufadhiri tafiti zao!!
Hivi bado unafikilia corona inapowauwa wakoloni weupe ni sahihi?.

Ila jwa kifupi ni makosa ya kitafiti kwa hao hao walioandaa propaganda hii, 'Kumbuka; wakati sakata la huu ugonjwa linapamba moto ulaya yote wakiwaambia afrika mtakufa kama utitiri mabarabarani na yule kipepeo bill gate ndiye alikuwa mstari wa mbele, then what next?.

Sitaki kuamini eti rasilimali watu na fedha ndiyo kigezo cha kuharakisha kupatikana kwa kinga hizi, there's extra hiden issues zinatunzwa tu.
 
Niambie ni chanjo/dawa gani ambayo haiwezi kuwa na side effects kwa baadhi ya watu?kuna zile dawa za malaria fansida, wakati ndio zimeingia nchini watu wangi sana walibabuka miili!!hayo mambo gani ambayo mnayajua hamtaki kufunguka?ila yasije kuwa kama hayo ya mchungaji Gwajima!!
Unajua wenyewe wangesema wazi tu kuwa hizo chanjo haziwafai watu wa makundi fulani kwa sababu wakitumia damu huganda, mfano kuna dawa hatakiwi kutumia mama mjamzito hivyo mjamzito anaepuka anaepika matumizi ya hizo dawa ili zisimletee shida.
 
Masalia ya mwendazake bado yapo sana!!ali wa washbrain vizuri sana!! Yaani kati ya watu milioni 19 waliopewa chanjo hiyo ni 0.0004℅ ndio wamekumbana na tatizo imekuwa inshu kubwa!!!achana nao
Imagine hiyo 0.0004 awe mkeo/mwanao/mama yako,baba yako.ndugu yako mmoja awepo
 
Samahani lakini , hivi una ufahamu wowote wa mambo ya tiba?!!kwa hiyo chanjo/dawa ikitumika kutibu watu milioni 20, watu 60, 000 tu miongoni mwao wakapata madhara utasema kuwa dawa /chanjo hiyo sio salama?daktari anapomfanyia mgonjwa operesheni bahati mbaya akafariki huwa ni kosa la jinai kwa dr, au anakuwa hajasoma?!!waulize waarabu/baadhi ya nchi za kiislam kwenye chanjo ya polio baada ya kuwa na misimamo ya kijinga, nini kiliwakuta kwa watoto wao?ndio maana hujalazimishwa kuichanja!!

vipi kwa yule unamwaminisha chanjo ni salama alafu ndugu yake akaaga dunia! then unamwambia ni kifo kimoja kati ya mil 60 waliopona??????
2) katika kila chanjo hua kuna mipaka hairuhusiwi kuvuka, mfano chanjo zote znatakiwa zisiwe code written kufanya changes zozote katika RNA \ DNA ya binadam, wewe huezi tengeneza chanjo kuhakikisha mwili wangu unarespond kutokana na edited codes zako. If you take ASTRAZENECA inamaanisha kila baaada ya mda lazima ukapokee tena, kwahio tunategemea saaahv wote waliopokea chanjo around 3 years from now ukapokeee ingine tena kama utakua alive ivo ivo mpaka utakavoaga dunia

3) Corona ni group of viruses sio ugonjwa, kwenye hilo group kuna aina nyingi za viruses and most viruses umeshakutana nazo kwa sababu hazina observable effects na zingine unaishi nazo bila kujua, tafaut ya zile zingine na hii apa (SARS-COV) ni sehem tu ya kufanyia maangamizi,.

4) kujibu hoja yako nadhan ni sahihi kusema hakuna haja ya kua worried na upinzani ni kwa sababu ni wawili watatu tu wamepata dhoruba watanzania wengine mil 59 wako salama, why do we have to wory about watu 200 wa mtandaoni?
 
Niambie ni chanjo/dawa gani ambayo haiwezi kuwa na side effects kwa baadhi ya watu?kuna zile dawa za malaria fansida, wakati ndio zimeingia nchini watu wangi sana walibabuka miili!!hayo mambo gani ambayo mnayajua hamtaki kufunguka?ila yasije kuwa kama hayo ya mchungaji Gwajima!!

side effects za kifo?
 
Ni kwamba hata katika familia yako kuna watu ambao walipokunywa chloroquine waliwashwa mwili mzima, wengine walishindwa kuona vizuri na wengine hawakupata athari zo zote. Hivyo na wazi tunatofautiana kimaumbile na genes. Sasa wataalam wetu watueleze ni watu gani chanjo hizi zinawafaa na nani haziwafai.

hakunaga chanjo inatengenezwa kwa miezi nani ikahalalishwa, the Human body isnt as wasy as that
 
Back
Top Bottom