Hiyo ndio hoja yangu kwamba waeleze ni watu gani chanjo haziwafai damu huganda ili kuepuka huku kuganda kwa damu kwa baadhi ya watu, inaonekana hili hawakulijua toka mwanzo sasa kulikubali ndio shida.Ni kwamba hata katika familia yako kuna watu ambao walipokunywa chloroquine waliwashwa mwili mzima, wengine walishindwa kuona vizuri na wengine hawakupata athari zo zote. Hivyo na wazi tunatofautiana kimaumbile na genes. Sasa wataalam wetu watueleze ni watu gani chanjo hizi zinawafaa na nani haziwafai.
Muache mzee wa watu apumzike kwa amani mataqo zako wwMasalia ya mwendazake bado yapo sana!!ali wa washbrain vizuri sana!! Yaani kati ya watu milioni 19 waliopewa chanjo hiyo ni 0.0004℅ ndio wamekumbana na tatizo imekuwa inshu kubwa!!!achana nao
Ushuzi mtupuBahati nzuri ni kuwa mwendazake unayemuabudu amekufa kwa corona sababu ya ubishi wake!
Nenda kuhiji Chato huenda itakusaidia afya ya akili!Ushuzi mtupu
Hivi bado unafikilia corona inapowauwa wakoloni weupe ni sahihi?.Yote mawili yanaweza kuwa ndio yamechangia, na jingine la muhimu kabisa ni kutokana na waathirika wakubwa ni hao(wazungu)ambao kila rasilimali fedha na watu wanayo wao!!na serikali zao kukubali kutoa fedha nyingi kwenye tafiti za ugonjwa huo, kwenye makampuni husika, ndio maana unasikia asilimia 75ya chanjo zote zinamilikiwa na nchi 10 tu!!EU, ilitishia kuishitaki kampuni ya Astrazenica kwa kuanza kuuza chanjo kwa nchi nyingine nje ya umoja wa ulaya, wakati wao ndio waliwezesha kutoa pesa nyingi kufadhiri tafiti zao!!
Umeandika ushuzi mtupuNenda kuhiji Chato huenda itakusaidia afya ya akili!
Unajua wenyewe wangesema wazi tu kuwa hizo chanjo haziwafai watu wa makundi fulani kwa sababu wakitumia damu huganda, mfano kuna dawa hatakiwi kutumia mama mjamzito hivyo mjamzito anaepuka anaepika matumizi ya hizo dawa ili zisimletee shida.Niambie ni chanjo/dawa gani ambayo haiwezi kuwa na side effects kwa baadhi ya watu?kuna zile dawa za malaria fansida, wakati ndio zimeingia nchini watu wangi sana walibabuka miili!!hayo mambo gani ambayo mnayajua hamtaki kufunguka?ila yasije kuwa kama hayo ya mchungaji Gwajima!!
Imagine hiyo 0.0004 awe mkeo/mwanao/mama yako,baba yako.ndugu yako mmoja awepoMasalia ya mwendazake bado yapo sana!!ali wa washbrain vizuri sana!! Yaani kati ya watu milioni 19 waliopewa chanjo hiyo ni 0.0004℅ ndio wamekumbana na tatizo imekuwa inshu kubwa!!!achana nao
Samahani lakini , hivi una ufahamu wowote wa mambo ya tiba?!!kwa hiyo chanjo/dawa ikitumika kutibu watu milioni 20, watu 60, 000 tu miongoni mwao wakapata madhara utasema kuwa dawa /chanjo hiyo sio salama?daktari anapomfanyia mgonjwa operesheni bahati mbaya akafariki huwa ni kosa la jinai kwa dr, au anakuwa hajasoma?!!waulize waarabu/baadhi ya nchi za kiislam kwenye chanjo ya polio baada ya kuwa na misimamo ya kijinga, nini kiliwakuta kwa watoto wao?ndio maana hujalazimishwa kuichanja!!
Basi kunya kabisa!Umeandika ushuzi mtupu
Mataqo wwBasi kunya kabisa!
Niambie ni chanjo/dawa gani ambayo haiwezi kuwa na side effects kwa baadhi ya watu?kuna zile dawa za malaria fansida, wakati ndio zimeingia nchini watu wangi sana walibabuka miili!!hayo mambo gani ambayo mnayajua hamtaki kufunguka?ila yasije kuwa kama hayo ya mchungaji Gwajima!!
Ni kwamba hata katika familia yako kuna watu ambao walipokunywa chloroquine waliwashwa mwili mzima, wengine walishindwa kuona vizuri na wengine hawakupata athari zo zote. Hivyo na wazi tunatofautiana kimaumbile na genes. Sasa wataalam wetu watueleze ni watu gani chanjo hizi zinawafaa na nani haziwafai.
K wewe!Mataqo ww
Mataqo wwK wewe!
Ni kweli we Mwanasayansi,SAYANSI ya Matusi.Sasa unadhani mimi ni mjinga kama wewe usiyeweza kudadavua mambo kisayansi!