Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Vijana wengi hawana tatizo la nguvu za kiume bali tatizo la msongo wa mawazo na wasiwasi na kutojiamini tu hasa katika kipindi huko cha material world kuliko utu na upendo!!!


Hisia unazitoa wapi wakati unajua FIKA unaefanya nae mapenzi hakupendi wala hana hisia na yeye bali amekufanya kuwa robot au mashine ya kufuatilia fedha !!!


Yaani unanunua kila KITU HADI uke hata hao tunaowaita wake zetu,wapenzi wanadai vingi toka kwetu kuliko hata wazazi wao walivyo wapatia! NGUVU utatoa wapi!!!


UKWELI WA KWAMBA Mapenzi YANAUZWA KAMA BIDHAA NYINGINE YEYOTE UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME KWA ASILIMIA 50 HASA KWA MTU ALIEFUNDISHWA NA KULELEWA KWA MAADILI YA UPENDO WA ASILI!!!
Ukweli mtupu
 
Watu walioleta huu mtazamo wa mchongo kuhusu punyeto ni waganga wa tiba mbadala walicheza na mindset za wanaume kwani walijua wanaume wengi walishawahi kushiriki punyeto kipindi cha balehe.

Wakaja na propaganda zao ilimradi wauze mitishamba yao kwa kigezo cha kuwasaidia waathirika wa punyeto.

Yaani it's doesn't make any sense punyeto iwe na madhara kuliko sex.
 
Watu walioleta huu mtazamo wa mchongo kuhusu punyeto ni waganga wa tiba mbadala walicheza na mindset za wanaume kwani walijua wanaume wengi walishawahi kushiriki punyeto kipindi cha balehe.

Wakaja na propaganda zao ilimradi wauze mitishamba yao kwa kigezo cha kuwasaidia waathirika wa punyeto.

Yaani it's doesn't make any sense punyeto iwe na madhara kuliko sex.
Na wanajua kuwa vijana wengi wanapitia humo hivyo wanataka kuwaogopesha ni matapeli kama matapeli wengine tu
 
Haha uongo mtupu, utapina na kitu gani kuwa kuangalia porn hupunguza nguvu au punyeto?
......
Nimewaalika waje kupata dawa kwangu wanaringa
Wengi huongea vitu vya kufikirika,

Napiga punyeto na kuwatch porn
ila nna iman tukiwekewa stopwatch Mimi na mtoa mada namuacha parefu mno.

Ingekua porn ni hoja,
Wacheza porn wasingekua na nguv za kiume maana ndio waongoza Kupiga punyeto na kuangalia porn zao wenyewe na za wenzao
 
Wanaandika kwa hisia kuliko uhalisia,
Wanaleta hoja za kiwaki,hoja hawana[emoji4]
[emoji23][emoji23] mtu anayeiponda punyeto ni yule aliyetoka kupiga punyeto sasa ana feel guilty ili kuiondoa hiyo guilty anakuja kuanzisha nyuzi za kudiss punyeto kwa lengo la kujifariji.

Sasa kwa bahati nzuri anakutana na waandamizi katika ulingo wa punyeto tunampa darasa..
 
[emoji23][emoji23] mtu anayeiponda punyeto ni yule aliyetoka kupiga punyeto sasa ana feel guilty ili kuiondoa hiyo guilty anakuja kuanzisha nyuzi za kudiss punyeto kwa lengo la kujifariji.

Sasa kwa bahati nzuri anakutana na waandamizi katika ulingo wa punyeto tunampa darasa..
Uyo namwambia tupewe mwanamke na stopwatch afu tuone kuacha porn na punyeto kumemsaidia nini
 
Back
Top Bottom