Brother kaongeza mke wa pili, nimefurahi sana

Brother kaongeza mke wa pili, nimefurahi sana

Sasa bro kakufanyia connection ya kazi mkoani we umeenda kuzuga halafu umerudi Dar ili ufukuzwe tena.
 
Ila we jamaa kama mtoto wa kike, hakika wala bi mkubwa hakukosea kukutimua, we ni tatizo 100% na wala nahakika sio bi mkubwa wa bro wako, mwanaume unaliliaje kukaa kwa bro wako!?
 
Nina brother wangu, tunachangia mzee ila kila mtu yuko na mama yake. Brother ananizidi kama miaka 6.

Miaka ile nakuja kusoma chuo kikuu, nilifikia kwa brother kwa sababu yeye tayari alikua anafanya kazi hapa Dar ila immediately baada ya mimi kuja akahamishiwa mkoa mwingine hivyo akaniacha na mke wake nyumbani kwake.

Kwa miaka yote ile nasoma nilikua naishi kwa brother, tuseme nyumbani kwetu. Jamaa alikua akija Dar once in a while.

Sasa baada ya kumaliza masomo tu hata kabla ya graduation shemeji akamshawishi brother anitimiue nyumbani kwake, yaani sina hili wala lile, nikaomba muda kidogo nijipange lakini ikashindikana, nikatimuliwa.

Nikahamia kwa brother mwingine mtoto wa baba mdogo, yeye alikua well off zaidi kuliko brother wangu. Nikakaa pale kama mwezi, kisha nikaunganishiwa kazi moja mkoani nikaenda huko baadae nikarudi Dar hadi leo.

Sasa, shemeji yetu bwana yeye hakutaka kabisa mahusiano yangu na brother, alihakikisha anatufarakanisha, alifanikiwa mwanzoni ila nadhani baadae bro akili zikamrudia akaona alifanya ujinga, tukaendelea vizuri ila sio kama zamani.

Sasa kwa kua shemeji alishalikoroga kwa ndugu zake na mume wake, mambo yalipoanza kumuendea kombo kwa mumewe akakosa msaada.

Hivi karibuni bro kaongeza mke wa pili, actually alifanya ndoa ya kimila kwani tayari alishakua amemzalisha huyo mwanamke watoto 3, sisi tundu tunajua long time, mke mkubwa kajua jana, amechanganyikiwa, presha imepanda amelazwa, hana wa kumpa faraja kwa upande wa mume. Mimi nasema atulie dawa imuingie.

Mimi binafsi nimefurahi sana. Sasa hivi mimi shemeji mdogo ndio mshikaji wangu, yule kimeo namuangalia tu.

Wanawake msijisahau sana, unaweza kufanikiwa kufarakanisha ndugu ila hutaweza kufuta undugu wao.

Ni hayo tu wakuu.
Kwa kumkomesha afe nawewe olewa mke wa tatu mkuu
 
Kutimuliwa ilikuwa ni sahihi. Una ngebe sana.

Ndugu wa mume bana.😂😂
Ukute limejichanganya likaomba msambwanda likakimbizwa ka mbwa. Mitoto ya siku hizi. Unafanya kazi,eti shemeji mdogo ndo mshikaji. Karudi ukae kwa mshikaji sasa. Haya,ulimwambia nini bro mpaka kaacha mkewe? Ulijua utakua unalala nae,kumbe ye mchongo ni mshikaji wako huyo?! Selemani wee
 
Shida ya wanawake wakishaolewa wanajenga sana uwadui na ndgu wa mume ,kesho kesho kutwa wanajisahau ya kuwa nawao watapata matatizo pakukimbilia hawana ,hii imetokea kwa jamaa yangu wife wake hataki mdogo wa mshkaji kukaa pale ,ila wakija ndgu ni sawa ,ila mwamba amesimama imara hakumfukuza ndgu yake na alimwambia mke akitaka asepe tu ,Akawa anadai talaka akamwambia nenda Talaka nakutumia .
 
Back
Top Bottom