Pesa mmetumia faida yake hamna, watu wanapitia madiirishani i kama mbagala , nanukuu kwenye biblia tunasemaHongereni Kenyans,
Kitu ambacho Tanzanians tumekifanya kwa billion kadhaa kujenga miundombinu kumbe kuna ubunifu mwingine mzuri tu wa kununua makopo ya rangi na Kuchora mistari na maandishi kidogo tu.....!
Kumbe ilikuuma kuambiwa maendeleo si chakula...hhhhUnadhani maendeleo ni kuwa na majumba marefu na malls wakati watu wabakufa kwa njaa, waliowaweka katika kundi la failed state hawajakosea, endeleeni kufuraia tall buildings, sisi huku tunazidi kujihakikishia usalama wa chakula, stupid nyang' au, hamna akili.
30ml of your people are poor...thats more than 50%I hope you do represent Kenyans who do not have toilets in Kibera, you are among of them who use flying toilets.
Dume la double stack hilo..kumbe walifahamu mkuu...asante...tupia zile picha ikibeba double stack sasa niskie raaKila tulikopita nao wanapenda kuweka historia.View attachment 900557
Je mama mboga naye..hayuko katika hilo kundi la unemployment..wasee wa garage..nao hawako katika hilo kundi..tz ni maskini ni maskini tu...naona inakua sanaThe World Factbook — Central Intelligence Agency
Acha kushindana na akili kubwa wewe, Tanzania, 22.8%(2015 east), KE 36.1%(2016 est).
Data za mwaka 2017 Tanzania inakisiwa kufikia 18%. Jaribu kujielimisha kidogo kabla ya kuandika, unemployment inajumuisha wote formal and informal, hata kama mtu ni self employed inahesabika yupo employed, tukisema 22.8% ni unemployed maana take hawana kazi ya uhakika inayowaingizia kipato.
Utabishana na ndugu zangu watanzania mpaka asubuhi, in short hawana kitu wanaweza zaidi ya mdomo, mzima pili, wana, benefits zero, Serengeti, benefits,, moderate, dhahabu, zero, coal zero, gas, zero, diamonds zero, na sasa ndio,wanaelekea north korea in terms ya leadershipndio, waliweka bidii ndio maana wanaexport mabasi zinaenda nchi kama tz...basi nanyi mnawaabudu badala ya kutia bidii mtengeze zenu🙄🙄kisha, basi hizo za Isuzu EA hazina shida yoyote ukizingatia quality...kama mwonekano ndio shida tu basi inamaanisha upo shallow sana kiakili...mabasi hayo ni ya kumaliza congestion...mwonekano mzuri haumalizi congestion...hivi ushawahi kuona mabasi yanayofanya kazi nchi flani za bara uropa au treni za marekani? yaani mwonekano haijalishi chochote...efficiency na quality, effect on local economy ndio mtu huwa anaangazia...not aesthetic qualities my fren...dont be shallow...na pia kwa maoni yangu basi hizi hazina mwonekano mbaya sana...zimejaribu pia...plus they are built in kenya by kenyans...thats teh most important aspect
Utabishana na ndugu zangu watanzania mpaka asubuhi, in short hawana kitu wanaweza zaidi ya mdomo, mzima pili, wana, benefits zero, Serengeti, benefits,, moderate, dhahabu, zero, coal zero, gas, zero, diamonds zero, na sasa ndio,wanaelekea north korea in terms ya leadership
Hahahaha hahahaha, we will continue feeding you foreverUtabishana na ndugu zangu watanzania mpaka asubuhi, in short hawana kitu wanaweza zaidi ya mdomo, mzima pili, wana, benefits zero, Serengeti, benefits,, moderate, dhahabu, zero, coal zero, gas, zero, diamonds zero, na sasa ndio,wanaelekea north korea in terms ya leadership
Hakuna cha kuletewa hapo, hizo ni local...Zenyu mmespend a lot of billions kubuy.Write your reply...
aisee ningekuwa mkenya ningebadili uraia, hata ningekuwa mganda sio mbaya, maana wakikuyu wanachowafanyia yaan kila siku kuwaletea ugly things za miaka ya 70,sasa hizo brt buses si ndo zilitumika kuwapeleka wanajeshi uganda kwenye vita ya kagera mwaka 1970!kama huamini tafuta ile muvi ya IDD amin..
Nynyi mlishe kenya...si mtafilisika tu..hv tayari wa turuki wanahepa..mnakuja kujipiga kifua mna chakula..ukiwa na hela hainahaja upagawe na ukulima..muache maskini alime wewe ukanunue angalau na yeye apate pesa za kununulia petrolHahahaha hahahaha, we will continue feeding you forever
Hzo basi zimeundwa wapi?...heheee..vp kuhusu petrol..mumeshapata helaWrite your reply...
aisee ningekuwa mkenya ningebadili uraia, hata ningekuwa mganda sio mbaya, maana wakikuyu wanachowafanyia yaan kila siku kuwaletea ugly things za miaka ya 70,sasa hizo brt buses si ndo zilitumika kuwapeleka wanajeshi uganda kwenye vita ya kagera mwaka 1970!kama huamini tafuta ile muvi ya IDD amin..
For those Tanzanians that were asking about the progress of "ONLY BRT" marked roads your questions have been answered. Kenya have introduced new locally assembled BRT buses in Nairobi apposed to the imported one in most countries. View attachment 899744View attachment 899742View attachment 899743View attachment 899745
Turkish food aid a lifeline for starving KenyansNynyi mlishe kenya...si mtafilisika tu..hv tayari wa turuki wanahepa..mnakuja kujipiga kifua mna chakula..ukiwa na hela hainahaja upagawe na ukulima..muache maskini alime wewe ukanunue angalau na yeye apate pesa za kununulia petrol
55%of your people are poor..even us pia wanapew aids..hhhhhh..30ml people mazee..hii n noma sanATurkish food aid a lifeline for starving Kenyans
Masiki wakubwa ninyi mnaishi kwa chakula cha msaada, Kenya ni taifa lenye laana.
55%of your people are poor..even us pia wanapew aids..hhhhhh..30ml people mazee..hii n noma sanA