BRT Kenya

BRT Kenya

Acha nigoogle nikuambie.
Hizo picha zina maana gani?.
FB_IMG_15397224683216775.jpeg
FB_IMG_15396570758682331.jpeg
 
Unadhani maendeleo ni kuwa na majumba marefu na malls wakati watu wabakufa kwa njaa, waliowaweka katika kundi la failed state hawajakosea, endeleeni kufuraia tall buildings, sisi huku tunazidi kujihakikishia usalama wa chakula, stupid nyang' au, hamna akili.
Hope you don't represent the 55mil Tanzanians with this you stupidity.
 
I hope you do represent Kenyans who do not have toilets in Kibera, you are among of them who use flying toilets.
Maybe you should begin to stress yourself about the 51.4% of Tanzanians who are living in poverty, according to actual statistics by the U.N. Instead of bringing your frustrations on a thread about the BRT that Kenyans are using to create jobs for the poor 36% through locally assembled vehicles.
 
Maybe you should begin to stress yourself about the 51.4% of Tanzanians who are living in poverty, according to actual statistics by the U.N. Instead of bringing your frustrations on a thread about the BRT that Kenyans are using to create jobs for the poor 36% through locally assembled vehicles.
Hahahaha, Kenya has the biggest population below poverty line in east Africa. Tumia akili kidogo kufikiria, ni nchi gani yenye higher unemployment rate?,. sasa kama watu ni jobless itakuaje wawe na kipato?. Huwa akili zenu mbaziweka mifukoni au?
 
Hahahaha, Kenya has the biggest population below poverty line in east Africa. Tumia akili kidogo kufikiria, ni nchi gani yenye higher unemployment rate?,. sasa kama watu ni jobless itakuaje wawe na kipato?. Huwa akili zenu mbaziweka mifukoni au?
Haaa! You must be joking. Self employment? Poverty levels, 51% for Tz to 36% for Ke, statististics from the U.N. Pole sana, najua una allergy kubwa ya takwimu. Hizo porojo zenu kwamba umasikini Kenya ni zaidi ya Tz zitabaki kuwa porojo tu.
 
Haaa! You must be joking. Self employment? Poverty levels, 51% for Tz to 36% for Ke, statististics from the U.N. Pole sana, najua una allergy kubwa ya takwimu. Hizo porojo zenu kwamba umasikini Kenya ni zaidi ya Tz zitabaki kuwa porojo tu.
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Acha kushindana na akili kubwa wewe, Tanzania, 22.8%(2015 east), KE 36.1%(2016 est).

Data za mwaka 2017 Tanzania inakisiwa kufikia 18%. Jaribu kujielimisha kidogo kabla ya kuandika, unemployment inajumuisha wote formal and informal, hata kama mtu ni self employed inahesabika yupo employed, tukisema 22.8% ni unemployed maana take hawana kazi ya uhakika inayowaingizia kipato.
 
Eti oh tuna blue buses, oh zina seats mbaya kama za huko china, oh sie tuna matatu zina muziki, swaga kali na customised kisasa zaidi haya yako wapi sasa? Hizi isuzu ni uchafu tu huwezi fikia quality ya blue buses from tz, our brt ni system kuanzia buses, bus stations mpka kule control centre.... hamjajipanga mazee bora muweke ziwe black buses not blue, sijaona sababu ya nyie kuweka ziwe blue kama za tz wakati kuna rangi nyingi sana za kuchagua
 
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Acha kushindana na akili kubwa wewe, Tanzania, 22.8%(2015 east), KE 36.1%(2016 est).

Data za mwaka 2017 Tanzania inakisiwa kufikia 18%. Jaribu kujielimisha kidogo kabla ya kuandika, unemployment inajumuisha wote formal and informal, hata kama mtu ni self employed inahesabika yupo employed,
Hapa tunaongea kuhusu BRT, anzisha uzi mwingine uendeleze majungu yako. Ila kwasababu umeitisha ngoja nikupe uhondo. 2018 U.N. GLOBAL MULTIDIMENSIONAL POVERTY INDEX Download hiyo index hapo chini alafu usome hizo takwimu za 2018 kutoka U.N ujione mwenyewe Tz ni ya nne Afrika kwa wingi wa watu maskini. Nilikuwa nimekosea, sio 51.4 ni 55.63% ya watanzania, watu 30.9Million. Kenya pia tupo @38.8%/18.8Mil. Ikikuuma sana kamtafute Ban Ki Moon.
 
ndio, waliweka bidii ndio maana wanaexport mabasi zinaenda nchi kama tz...basi nanyi mnawaabudu badala ya kutia bidii mtengeze zenu🙄🙄kisha, basi hizo za Isuzu EA hazina shida yoyote ukizingatia quality...kama mwonekano ndio shida tu basi inamaanisha upo shallow sana kiakili...mabasi hayo ni ya kumaliza congestion...mwonekano mzuri haumalizi congestion...hivi ushawahi kuona mabasi yanayofanya kazi nchi flani za bara uropa au treni za marekani? yaani mwonekano haijalishi chochote...efficiency na quality, effect on local economy ndio mtu huwa anaangazia...not aesthetic qualities my fren...dont be shallow...na pia kwa maoni yangu basi hizi hazina mwonekano mbaya sana...zimejaribu pia...plus they are built in kenya by kenyans...thats teh most important aspect
Hizo bus hazifai kwa matumizi ya Dar.
 
Maybe you should begin to stress yourself about the 51.4% of Tanzanians who are living in poverty, according to actual statistics by the U.N. Instead of bringing your frustrations on a thread about the BRT that Kenyans are using to create jobs for the poor 36% through locally assembled vehicles.
Wewe ndiye uliyeingiza habari ya unemployment katika Uzi huu, baada ya kuona mambo magumu, kuniambia nianzishe Uzi mwengine ni upunguani wako.
 
Wewe ndiye uliyeingiza habari ya unemployment katika Uzi huu, baada ya kuona mambo magumu, kuniambia nianzishe Uzi mwengine ni upunguani wako.
Aaah wapi bana, [emoji23][emoji23] mimi sikutaja chochote kuhusu ajira, nilitaja umasikini, poverty, nikijibu comment yako ya sijui eti tushughulike na Kibera tuachane na BRT. Hahaa [emoji1] ushahidi upo hapa hapa kwenye uzi huu. Acha kujitia hamnazo na ukichaa feki. Pitia pitia pia hizo takwimu za U.N ambazo nimekuwekea hapo juu. Punguza unachokitumia jombaa na siku nyingine usije na kihehere chako cha kuingiza habari ambazo hazihusiani vyovyote na mada ya uzi kama huu.
 
Hahahaha, Kenya has the biggest population below poverty line in east Africa. Tumia akili kidogo kufikiria, ni nchi gani yenye higher unemployment rate?,. sasa kama watu ni jobless itakuaje wawe na kipato?. Huwa akili zenu mbaziweka mifukoni au?
kenya is a lower middle income country. Its poverty line is 2 dollars per day, the rest of East African countries are LDCs, their poverty lines are 1 dollar per day. If you have a brain you'll understand.
 
kenya is a lower middle income country. Its poverty line is 2 dollars per day, the rest of East African countries are LDCs, their poverty lines are 1 dollar per day. If you have a brain you'll understand.
Huyo anatumia kichwa kama kifuniko ya shingo
 
Aaah wapi bana, [emoji23][emoji23] mimi sikutaja chochote kuhusu ajira, nilitaja umasikini, poverty, nikijibu comment yako ya sijui eti tushughulike na Kibera tuachane na BRT. Hahaa [emoji1] ushahidi upo hapa hapa kwenye uzi huu. Acha kujitia hamnazo na ukichaa feki. Pitia pitia pia hizo takwimu za U.N ambazo nimekuwekea hapo juu. Punguza unachokitumia jombaa na siku nyingine usije na kihehere chako cha kuingiza habari ambazo hazihusiani vyovyote na mada ya uzi kama huu.
Wewe ni kichaa, Mimi nilisema badala ya kutengeneza MAGARI, mngeshughulikia suala la chakula kwanza kwasababu mnamatatizo ya njaa, kwani vipi njaa imekwisha huko kwenu?, vipi mnaanza kujadili kuhusu gari kabla ya chakula ambacho ndio basic needs?, vipi unafikiria kununua soxi wakati huna kiatu?.

Vipi hizo data za CIA nilizokutumia umezielewa au nikutumie tena?, haiwezikani nchi yenye highest namba of unemployment iwe na namba ndogo ya population below poverty line, elimu yenu haiwajengei uwezo wa kufikiri zaidi ya kuwafindisha ukabila na corruption.
The World Factbook — Central Intelligence Agency
 
Back
Top Bottom