Labda Kama umemjua Jana alishawahi kuwa captain tafuta mechi zake za msimu uliopita utamuona na utamuheshimuTakwimu zinaongea acha matusi kama shoga.
Huyo unaemwita strong man hana lolote zaidi anabebwa na K. Muguna na Mudathir. angekuwa na uwezo angeibeba timu yake ipande angalau top 4 sio kukamia mechi kubwa ndio unampgia promo humu.
Hakuna namba 6 anaemfikia Kelvin Nashon kwa sasa nchini takwimu ziko wazi.
Wa kawaida sana..Huyo ni sampuli ya majogoro au hassan nassoro..Hawezi kumweka hata Zawad Mauya bench.Labda Kama umemjua Jana alishawahi kuwa captain tafuta mechi zake za msimu uliopita utamuona na utamuheshimu
Mbona utopolo kupuyanga ndio jadi yenuSiku zote nilijua yule beki tatu wetu majeruhi pale Jangwani ndiyo huyu! Kumbe nilipuyanga!
Maana kitambo sana hii middle nilikuwa naikubali sana. Ukweli kipaji cha mpira anacho.
We jamaa mchokozi Sana.Good question...isije ikawa jana msukule ndio ulikuwa unacheza
Hii kitu ilimcost sana Walter Bwalya aka Binene Sabwa, akawa haitwi timu ya Taifa ya Zambia wala ya DRC sababu ya majina mawili mawiliIyo issue ulikuwa kubwa Hadi jamaa uyu anaitwa Bajana now akawa Haitwi national team
Na hili Bajana sio la kitanzaniaJina lake halisi ni Hilo la sasa SOSPITER BAJANA
lile la Raphael alikuwa akitumia Ila sio jina lake
Majina ya Kitanzania yapo vipi?Na hili Bajana sio la kitanzania
kama vile MukimbiriMajina ya Kitanzania yapo vipi?
kama vile Mukimbiri
Sasa mbona anacheza timu ya Taifa Tanzania.Sio mtanzania ni mrundi huyo
Waha wengi hawana utofauti na warundiBajana ni Muha na majina ya Kiha yanawachanganya wengi.
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa... hahahaha 🤣🤣🤣Mwanzoni mama alimdanganya kwamba babake ni Raphael ili apate matumizi kwakuwa Bajana alikuwa ohehae. Baada ya Bajana kuzipata pesa mama kabadili gia angani kamwambia baba ni Bajana. Mjini kisomo. Ukizubaa utaliwa.
Kama Kibu.Sasa mbona anacheza timu ya Taifa Tanzania.