ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Guyz mara nyingi wahenga walisema ukitaka kuluka ni lazima uagane na nyongaa na muonja chakula haoinji mara moja.....sasa hapa nilipo nashindwa kufanya maamuzi sahihi kwa sababu mm ni bado mdogo kielimu hata kimaisha bado akili yangu haipo poa coz sija hata ajiliwa ndo kwanza nategemea kwenda chuo mwaka wa kwanza ..... sasa nilikuwa naombeni mnisaidie kati ya Bsc of SCIENCE IN CHEMISTRY NA NURSING IPI IKO VIZURI KIA AJILA NA HATA MSHAHARA WAKE UPO VIPI nataka nifanye transfer ya chuo so naombeni mnisaidie jamani kwa wote wanao jua na wenye ushaur wowote uleeee..... plz naombeni mnisaidie ili mambo yake poa
KARIBUNI
nursing diploma wanalipwa almost si chin ya laki sita na wakat mwalimu wa degree analipwa laki tano na haiwez zidi sana zaid ya hapo...assume umepiga degree ya nursing,unadhan utakuwa wap kimshahara...hyo changamoto kwako amua uende wap ila me naona nursing iko poa kama unatafuta mshahara mkubwa...
!
!
ni hatari sana kusoma kwa kutegemea ajira. Elimu ituwezeshe kutanua upeo ili tuweze kupambana, ikiwemo kujiajiri. Kuwaza ajira tu,mh......
Kama unachojali ni pesa na sio hadhi katika jamii na hatari za mazingira ya kazi basi nakushauri upige nursing! Certificate tu ya nursing(mwenye miaka 6 kazini)mshahara wake basic ni laki 9! Ukiona bongo michosho nenda kwa Obama ukalee wazee na mshahara wake sio kidogo(uhakika wa kazi kwa nesi mwenye digrii USA hata ukitaka leo!) Hapa bongo ni uuguzi una hadhi sawa na mgambo wa jiji hasa kama jinsia yako ni ya kiume!
hadhi sawa na mgambo wa jiji.....!
Mmm!
Kama vipi aje kuonana na akina Prof. Mhinzi, Prof. Othman, Dr. Mdoe, Dr. Mahugija, Dr. Mgina, Dr. Nyandoro, Dr. Mdachi, n.k pale mjengoni (UDSM). Ila lazma adakwe na Dr. Mdachi kwenye enantiomeric excess!