ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Guyz mara nyingi wahenga walisema ukitaka kuruka ni lazima uagane na nyongaa na muonja chakula haoinji mara moja.
Sasa hapa nilipo nashindwa kufanya maamuzi sahihi kwa sababu mm ni bado mdogo kielimu hata kimaisha bado akili yangu haipo poa coz sija hata ajiriwa ndo kwanza nategemea kwenda chuo mwaka wa kwanza.
Sasa nilikuwa naombeni mnisaidie kati ya Bsc of SCIENCE IN CHEMISTRY NA NURSING IPI IKO VIZURI KIA AJIRA NA HATA MSHAHARA WAKE UPO VIPI nataka nifanye transfer ya chuo so naombeni mnisaidie jamani kwa wote wanao jua na wenye ushaur wowote uleeee.
Plz naombeni mnisaidie ili mambo yake poa.
KARIBUNI
Sasa hapa nilipo nashindwa kufanya maamuzi sahihi kwa sababu mm ni bado mdogo kielimu hata kimaisha bado akili yangu haipo poa coz sija hata ajiriwa ndo kwanza nategemea kwenda chuo mwaka wa kwanza.
Sasa nilikuwa naombeni mnisaidie kati ya Bsc of SCIENCE IN CHEMISTRY NA NURSING IPI IKO VIZURI KIA AJIRA NA HATA MSHAHARA WAKE UPO VIPI nataka nifanye transfer ya chuo so naombeni mnisaidie jamani kwa wote wanao jua na wenye ushaur wowote uleeee.
Plz naombeni mnisaidie ili mambo yake poa.
KARIBUNI