safii sana Mkuu nahic atakuwa amekuelewa, wengine wanakuwa hawajafuatilia vitu na wanaanza kuongea tuu lolote liwatokalo mdomoni,,afu cdhani kama anajua kuwa div 3 ya mwaka huu mwisho point 13 na wakati ilikuwa mwisho point 17,,!!!!!!!!!
Kwani mtu mwenye four si kafahulu acheni ufara UDSM kwani ni makazi ya malkia,vijana muda wote mnaongea ujinga,mnajua kabisa four ni ufaulu mtu anashangaa,mtu anasoma internation university frolida na anafour chuo cha kimataifa leo mnashangaa chuo kama UDSM!KWANZA WENYE FOUR NDIO UWA WANADISPLINE NA UFAULU MZURI CHUONI.SO KUWENI NA AKILI MLIOCHANGIA WAJINGA NINYI,NYIE MLIJUA UDSM WANAENDA WENYE ONE TU,ONE ZA BRN NI FOUR YA 2013.
Udsm chuo bora ww kwa tz ckutegemea zle four zngeonekana pale nlitegemea vyuo vingne huko ww ndo kilaza xaxaacha ujinga kilaza wewe!four ni ufaulu kwani vipi una ONE NINI YA BRN?UDSM UMEONA NI CHUO KILIOKUJA NA YESU.WE VIPI USIWE UNAFANYA KITU BILA UFIKIRI.
Udsm chuo bora ww kwa tz ckutegemea zle four zngeonekana pale nlitegemea vyuo vingne huko ww ndo kilaza xaxa
Usiongee k2 bila kufanya uchunguz ww kilaza ckia ww fungua poct za udsm kama una laptop najua hauna ndo mana hujui knachoendelea nenda cafe kaaangalie ndo uje kutoa hoja hapaWe acha kudanganya mbele ya umma udsm ajachukuliwa kilaza pale. tatizo we hulikosa sifa za kuja hapo
mtu akikosa chuo kizuri bna......ha ha ha ha ha
Duu kwel c utani kabisa nimewaona wengi wenye div four wapo coet pale kwny kozi kama bsc textile design and technology nk
SaWa JoMbAa!Kwani mtu mwenye four si kafahulu acheni ufara UDSM kwani ni makazi ya malkia,vijana muda wote mnaongea ujinga,mnajua kabisa four ni ufaulu mtu anashangaa,mtu anasoma internation university frolida na anafour chuo cha kimataifa leo mnashangaa chuo kama UDSM!KWANZA WENYE FOUR NDIO UWA WANADISPLINE NA UFAULU MZURI CHUONI.SO KUWENI NA AKILI MLIOCHANGIA WAJINGA NINYI,NYIE MLIJUA UDSM WANAENDA WENYE ONE TU,ONE ZA BRN NI FOUR YA 2013.
wewe ni muanga wa BRN,UNAKLEM KUWA NA AKILI KILAZA!FOUR NI UFAULU,ONE ULIYONAYO SASA NI FOUR YA 2013.
mbn had daraxa la xaba pia nackia anaweza chaguliw udsm tena facat kama law na nyngn!mnaxhangaa four ya 4m 6 kwenda udsm,bt kuna w2 wataikataa hii.