BSc in Textile Engineering yavamiwa UDSM

Acheniii uku...... Nyie saša ulitaka wewe ndo uchaguliwe.... Ukiona kachaguliwa ujue ana vigezo.

Wengine wamesoma certificate na diploma utamlinganishaa na wew e ulie toka 4me 6 kwa kupanuliwa golii....
2nazungumzia result la six ww uliza kwanza acha kuropoka!
 
Sasa suala la chuo gani kimemdahili nani linakua linakuhusu nn wewe kama mtu binafsi? Unahisa na chuo? Chuo kinamilikiwa na mzazi wako?

Au ni nn hasa kinakua kinakusumbua? Someni vijana, maisha ya nje ni tofauti na mnacho kifanya huko chuo.
 
Usiongee k2 bila kufanya uchunguz ww kilaza ckia ww fungua poct za udsm kama una laptop najua hauna ndo mana hujui knachoendelea nenda cafe kaaangalie ndo uje kutoa hoja hapa

Acha ushamba ww.. Sio lazima awe na laptop. Hata smartphone inapiga kazi.
 
Dah!M2 akichaguliwa kusoma udsm tayari imekuwa shinda.............sasa angechakuliwa harvad ingekuaje sasa.
 
Kaazi kweli kweli,hii nchi kujikwamua katika umaskini bado sana,
na haya ndiyo mawazo ya vijana wanaotarajiwa kuijenga nchi yetu Tanzania!inasikitisha sana..
 
Hii ni baada ya watu wengi wenye div 4 ya point 14 kufurika katika course hiyo,ukianzia mtu wa kumi na saba kwenye coz hiyo hadi mtu wa 22,wote wana div 4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…