ashy da don
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 615
- 670
hivi kihombo yule TO alotoka tosa PCM 2006 akawa anasoma Tele yuko wapi? ntafutieni mumuulize one na four zinamatter vipi chuo? acheni ulimbukeni.
Udsm chuo bora ww kwa tz ckutegemea zle four zngeonekana pale nlitegemea vyuo vingne huko ww ndo kilaza xaxa
chek vitoto vya brn vinavyodanganyana wewe ulishawahi sikia miaka ya nyuma ufaulu wa fm6 dvsn 1 mpaka 3 ikawa n 95% ya watahiniwa wote?? Na kwa taarifa yako kwenye waraka wa kubadili alama na madaraja uliotolewa mwakajana unaonyesha E iliyokuwa inatumiwa na baraza n 45-55 na sio 35-45
Nyie ndio mna mnakuja kuchanganyikiwa nyie!! unayemwona ana four ndio anakuja kukukimbiza darasani, utakomaje? jua huko ni chuoni sasa wewe endelea kufwatilia watu uone mwisho wake!! FWATA YANAYOKUHUSU WEWE MTOTO!!
UDSM walishawah kutengeneza gar? je umeme mbadala baada ya kila siku kupanda bei? kuna sayans mpya imevumbuliwa pale? hizo ndo sifa za chuo bora wana invent, wanatoa watu mashuhur na sio wala rushwa na porojo la tanzania linaanza UDSM linamaliza serikalin
Sipingani na mawazo yenu yote ila kama ni mtu unaewaza kwa undani kuna shida kubwa sana katika elinu ya chuo kuanzia mwaka huu ambapo hata div. 2 haina soko katika ubora wa elimu. Kizazi hiki kilichoongoza kufaulisha kidato cha sita ndio kitakachoongoza kusap na kudisco huko vyuoni. Kuna historia itawekwa na hiki kizazi cha kikwete. Naona hata ukibisha kwa sasa subiri uingie chuoni.
hivi kihombo yule TO alotoka tosa PCM 2006 akawa anasoma Tele yuko wapi? ntafutieni mumuulize one na four zinamatter vipi chuo? acheni ulimbukeni.
Anaingia second year..petroleum engineering!
Kama kawa kama dawa mwaka jana TO mwenyew ana C ya phyz nailikuwa si mchezo esabu ye2 ukichomoka Na E we mnyamaa!