BSS Final hamkuwa na haja ya kuleta wa Nigeria!

Haaah yupo yamoto band yule BSS ilikuwa ni platform ya kumjenga na kumjua tu
Babu tale na fella wanafanya huu mziki ni wa kwao ila wanavyofanya sio vizuri
 


Tutolee ujinga wako.
Unafundishwa lakini huelewi.
Kuwa nominated ni tofauti na uhalisia.
 
Last edited by a moderator:
Tutolee ujinga wako.
Unafundishwa lakini huelewi.
Kuwa nominated ni tofauti na uhalisia.
Anzisha forum yako ukiona mtu anaongea kitu kilicho nje ya akili yako unafuta, ila hapa ni kwa kila mtu kwa sisi tunaoongea kitu kilichopo na kimeshatokea na hata nyinyi munaoongea hisia zenu na vya kufikilika wooooote panatuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…