BSS ina uchawi gani?mbona wengi hawafanikiwi?

BSS ina uchawi gani?mbona wengi hawafanikiwi?

Kwan lengo la shindano ni kusaka mtunzi bora?
Maana nijuavyo mtu unaweza kuwa mtunzi mzuri na usijue kuimba na viceversa is true.......
So kuna wengine ni mastaa wakubwa na hawajui kutunga mashairi rejea recho,linah wa tht ila wana sauti za kuimba....hiyo ni mifano tu ila wapo wengi sana...
Hao wanapotea kwasababu shindano lenyewe limejaa figisufigisu kama siasa za bongo..anayeshinda hastahili na anayeshindwa hastahili pia....

Kala jeremia,peter msechu, hawakushinda ila wanafanya vzr sana wale washindi wote kapuni hakuna hata mmoja aliyetoboa

Aibu kwao waandaaji....
Umeanza vizuri ila mwisho umechamba mkuu
 
Safi
Kwanza ni jambo la kujiridhisha kuwa si BSS tuu bali hata huko nje shows kama za the voice, SA idols, xfactors, na Got talents za nchi nyingi, ni watu wachache sana walio shinda mashindano ya aina hii wame make ki muzik.
Kwanini!!?
1. Lengo la mashindano, waandaji huwa wanaandaa kwa ajili ya faida yao na kupata wadhamini, na mara nyingi wakisha maliza shindano hawawekezi kwa nguvu kubwa kwani kuna shindano la mwakani inabidi waandae tena, hawana time na wewe
Pia washindanaji lengo lao kubwa zaidi ni kupata yale mamilioni tuu, wakisha pewa kuna msemo unasema easy come easy go
2. Mashabiki wa mashindano, askudanganye mtu, watanzania wanao fuatilia BSS ni chini ya milioni 10, wanao piga kura ni chini ya laki moja, kwa hiyo kama msanii ukishinda unakuwa hujapata fan base kubwa bado isipo kuwa ki portion kidooogoo cha wale walio angalia na wakajisumbua hata kupiga kura,,na wengi wanai piga kura huwa wanaanza kwanza kukuonea huruma ya kimaisha mfano unakumbuka Jumaanne Idd kwa hiyo Raymond akitoa wimbo mmoja uka hit anapata fan base kubwa kuliko wewe mshindi
3. Mziki ni zaidi ya kukopi nyimbo za watu, angalia yule mshindi wa mwaka jana kayumba alishnda kwa kuimba imba taarab za kina isha mashauz sasa je akitoka BSS ana uweza huo mziki!!? Mpaka yeye mwenyewe hajui afanyeje yaani

*sababu ni nyingi lakini kikubwa ni wasanii wajiamini wahue uwezo wao ni zaid ya kuimba BSS, ndio maana mara nyingi unakuta wanao fanikiwa ndio wale walio shika u tano, au ukumi, kwa kuwa it takes more than to win BSS ili kuwa msanii

Sor gazeti refu kidogo
Something very brilliant
 
Safi
Kwanza ni jambo la kujiridhisha kuwa si BSS tuu bali hata huko nje shows kama za the voice, SA idols, xfactors, na Got talents za nchi nyingi, ni watu wachache sana walio shinda mashindano ya aina hii wame make ki muzik.
Kwanini!!?
1. Lengo la mashindano, waandaji huwa wanaandaa kwa ajili ya faida yao na kupata wadhamini, na mara nyingi wakisha maliza shindano hawawekezi kwa nguvu kubwa kwani kuna shindano la mwakani inabidi waandae tena, hawana time na wewe
Pia washindanaji lengo lao kubwa zaidi ni kupata yale mamilioni tuu, wakisha pewa kuna msemo unasema easy come easy go
2. Mashabiki wa mashindano, askudanganye mtu, watanzania wanao fuatilia BSS ni chini ya milioni 10, wanao piga kura ni chini ya laki moja, kwa hiyo kama msanii ukishinda unakuwa hujapata fan base kubwa bado isipo kuwa ki portion kidooogoo cha wale walio angalia na wakajisumbua hata kupiga kura,,na wengi wanai piga kura huwa wanaanza kwanza kukuonea huruma ya kimaisha mfano unakumbuka Jumaanne Idd kwa hiyo Raymond akitoa wimbo mmoja uka hit anapata fan base kubwa kuliko wewe mshindi
3. Mziki ni zaidi ya kukopi nyimbo za watu, angalia yule mshindi wa mwaka jana kayumba alishnda kwa kuimba imba taarab za kina isha mashauz sasa je akitoka BSS ana uweza huo mziki!!? Mpaka yeye mwenyewe hajui afanyeje yaani

*sababu ni nyingi lakini kikubwa ni wasanii wajiamini wahue uwezo wao ni zaid ya kuimba BSS, ndio maana mara nyingi unakuta wanao fanikiwa ndio wale walio shika u tano, au ukumi, kwa kuwa it takes more than to win BSS ili kuwa msanii

Sor gazeti refu kidogo
Gazeti refu lkn linaeleweka mkuu[emoji106] [emoji106]
 
lakini cloudz wanajitahidi sana na super nyota..
masupa nyota wengi wako kwenye game, kina rubby/ young killer
 
Hebu niambieni alipo Bella Kombo, last time niliona habari ya kwamba amepata mtoto, was 2013 nadhani!
 
Sio BSS tu nilifatilia sana mpaka za nje hua maranyingi watu wanaotokea kwenye mashindano haya ya muziki hawahimili solo au ushindani wa muziki na ufamous who hua unaishia baada ya show kuisha" wanasahaulika
Angalia Tusker Project Fame kina Alpha na wengne wakapita aliyemantain ni msechu 2 na yy juzi kdogo aache muziki.
Hata zile American idol British got talent ni hvo hvo
 
Wao wanafata taratibu za mziki sijui utaalamu wa sauti kuimba na vingine...

Mtaa hauangalii utaalamu wa mziki huku angalia watu wanataka nini, ndo mana hata singeli inatamba, mpoto anaongea tu anatamba...

Mziki ni zaidi ya do re mi fa so la ti do.
 
Nashani iandaliwe programe nyingine ya kuwaendeleza baada ya mashindano hasa kwa namba moja hadi tano,na wawe chini ya management nzuri,mf kama walivyo One Direction
 
Nashani iandaliwe programe nyingine ya kuwaendeleza baada ya mashindano hasa kwa namba moja hadi tano,na wawe chini ya management nzuri,mf kama walivyo One Direction
Kweli kabisaaaa ,watu wengi ss hv hawajali cha ujumbe wala nini wanachojali huo mziki unachezeka tu bhasi
 
Back
Top Bottom