Bucket list: Mambo ambayo unatamani kufanya kabla ya kufa

Bucket list: Mambo ambayo unatamani kufanya kabla ya kufa

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam.

Nimetafakari tu ufupi wa maisha yetu sisi wanadamu. Walakini, bado yapo mambo ambayo nafsi yangu ingetamani kuyafanya au yatimie mnamo au kablya ya umauti. Mambo hayo ni:

1. Kuwa na mapatano na muumba wangu;
2. Kutembelea mabara yote hapa duniani;
3. Kuacha legacy nzuri na mali kwa watoto na wajukuu;
4. Kutumia sehemu ya mali zangu kwa ajili ya kusaidia yatima; na
5. Kuona taifa langu linakua kiuchumi na haki na upendo kutamalaki.

Je wewe una nini kwenye list yako?
 
1.kujihakikishia uzima wa milele
2.Pesa
3.Pesa
4.Pesa
5.Mke na watoto
6.Nife wakwanza Kati ya ndugu zangu
 
  1. Kumuabudu Mwenyezi Mungu
  2. kua na afya njema
  3. Kuishi na watu vizuri bila kua na maadui
  4. Kuna na familia yenye furaha na afya
  5. Kuyamudu maisha,yaani kupata mahitaji muhimu isiwe tatizo
  6. Kufurahia maisha ninayo ishi.
 
legacy kuanzia ngazi ya familia, ukoo, na wote nitakao ishi nao

wanasema, maisha kama maisha yenyewe hayana maana yoyote lakini ni jukumu lako kutengeza maana ya maisha yako
 
Back
Top Bottom