MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wasalaam.
Nimetafakari tu ufupi wa maisha yetu sisi wanadamu. Walakini, bado yapo mambo ambayo nafsi yangu ingetamani kuyafanya au yatimie mnamo au kablya ya umauti. Mambo hayo ni:
1. Kuwa na mapatano na muumba wangu;
2. Kutembelea mabara yote hapa duniani;
3. Kuacha legacy nzuri na mali kwa watoto na wajukuu;
4. Kutumia sehemu ya mali zangu kwa ajili ya kusaidia yatima; na
5. Kuona taifa langu linakua kiuchumi na haki na upendo kutamalaki.
Je wewe una nini kwenye list yako?
Nimetafakari tu ufupi wa maisha yetu sisi wanadamu. Walakini, bado yapo mambo ambayo nafsi yangu ingetamani kuyafanya au yatimie mnamo au kablya ya umauti. Mambo hayo ni:
1. Kuwa na mapatano na muumba wangu;
2. Kutembelea mabara yote hapa duniani;
3. Kuacha legacy nzuri na mali kwa watoto na wajukuu;
4. Kutumia sehemu ya mali zangu kwa ajili ya kusaidia yatima; na
5. Kuona taifa langu linakua kiuchumi na haki na upendo kutamalaki.
Je wewe una nini kwenye list yako?