Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sony The digital is yours sidhani kama wapo daraja moja na hao uliowataja Mkuu.Sony nawakubali kwa sound tu, kwa picha lg na samsung wako kwenye ligi yao tofauti kabisa
Wauza TV pia ni wafanyabiashara na wanahitaji wateja.Daah ila hii ngozi nyeusi na mavioo sijui tulirogewa hapo na mzungu, sio Vioo vya kujitazama enzi za Mangungo sio Screen smartphones wala video matv yani mtu yupo radhi ale kwa shida ila geto pakae mkao.
Hiyo pesa nunua mashone ya kutotoreshea mayai ya kuku utakuja kunishukuru ila kama hiyo TV unaenda kuweka sehem ya biashara kama banda la mpira, PS, betting station au mgahawani ama bar ni safi kabisa.
Sahih.Wauza
Wauza TV pia ni wafanyabiashara na wanahitaji wateja.
Mtu kama kipaumbele chake ni TV, let it be, maisha ni mafupi, watu waenjoy. Sio sheria kwamba kila mtu awe mfanyabiashara au mjasiriamali.
Kuwa makini usiuziwe copy ni vizuri uende Kwa authority dealerIsiyozidi 55" maanake si unaweza brand yoyote kati ya hizo kuanzia 43", ushauri wangu chukua Hisense 58" model nzuri.
sante broo always watu wananiuliza broo mbona tv yako picha kali hiviSony nawakubali kwa sound tu, kwa picha lg na samsung wako kwenye ligi yao tofauti kabisa