pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
-
- #41
Rais Uhuru Kenyatta ndiye 'regional leader' ukanda huu wa Afrika ya mashariki na kati. Hao wengine wanaopenda kuvaa kofia za ajabu ajabu wanajuana wenyewe kwa wenyewe tu.Tanzania inaweza wakilishwa na Mtu kama Kenyatta, ana hiyo hadhi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shauri yako.
[emoji1][emoji1][emoji1] Shikeni adabu zenu, ndio siku nyingine mkumbuke kupunguza gia.ushajipima ukagundua hutoshi,haya kalale,nex chunga unakujaje.
sasa tatizo nini???kwani lazima kumpa mkono,hatuwezi kusalimiana hadi tupeane mikono??Hapo kwenye picha trump alikuwa anampa mkono, lakinl akili za Buhari nadhani zilikuwa kule Maiduguri.
eeehh MUNGU tuepushie akili za namna hii ktk nchi yetu ya Tanzania.Sasa jiwe anaweza akamwaga kimombo kama UHURU au BUHARI?Kama Uganda palimshinda akabaki u have to choose btn human right n corruption...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama elimu yako ni ya kubangaiza kama jiwe huwezi elewaeeehh MUNGU tuepushie akili za namna hii ktk nchi yetu ya Tanzania.
kwenda zako kulee una elimu gani wewe ??
Kwenda zako huko.[emoji1][emoji1][emoji1] Shikeni adabu zenu, ndio siku nyingine mkumbuke kupunguza gia.
Mbona nyinyi mnawaona wazungu kama watu special sana? Mtu akijihusisha nao eti ni kwamba anajipendekeza kwao. Fikra kama hizi ni za kipuzi, hazifai.Ushamba upo wapi hapo, ww ni reasonable fellow, naomba point ushamba alioongelea hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nyie vibaraka wa ngozi nyeupe mtakuwa lini?
Watumwa mamboleo ni shida sana walahi!
Thatβs all
.......Sisi hatuna tabia ya kujikomba kwa wazungu, Uhuru amewakilisha Kenya sisi hatukubaliani na tabia yake ya kuzurura aimlessly, tulimchukia Kikwete kwasababu ya tabia hiyo ya kuzurura hovyo, kama ninyi mnaipenda msitushirikishe sisi hatuitaki kabisaaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi why tunatoa mappvu lwa uhuru wa kenya tuna yetu mengi yakujadili ila na sisi tumezidi Bibi wine kaswekwa ndani amekuwa gumzo Uhuru kae da USA shida tupu hatuna yetu jamaniSasa unataka kutulazimisha tushiriki katika fedheha yenu kwa nguvu?. Kenya, Uganda na Ethiopia zimepakana na S. Sudan na ndizo zinazphusika zaidi katika kusuluhisha mzozo huo, ulitaka Trump asizungumzia hilo Suala na Kenya badala yake azungumze na rais wa Botswana au?.
Mbona mikataba ya biashara hajasaini ya ukanda mzima badala yake ni Kenya pekee?. Hii ni kawaida yenu ninyi ubinafsi umewajaa sana, wakimbiaji wenu wakishinda huko nchi za nje mnasema ni mkenya ameshinda, ila musicians wa Tanzania akifanya vizuri mnasema huyu ni East african. Sisi hatuna tabia ya kujikomba kwa wazungu, Uhuru amewakilisha Kenya sisi hatukubaliani na tabia yake ya kuzurura aimlessly, tulimchukia Kikwete kwasababu ya tabia hiyo ya kuzurura hovyo, kama ninyi mnaipenda msitushirikishe sisi hatuitaki kabisaaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye picha trump alikuwa anampa mkono, lakinl akili za Buhari nadhani zilikuwa kule Maiduguri.
Kuna uyoga mwingine huko western unaitwa 'rogosumu'. Kubwa utadhani karai. Lol...Rais Uhuru Kenyatta ndiye 'regional leader' ukanda huu wa Afrika ya mashariki na kati. Hao wengine wanaopenda kuvaa kofia za ajabu ajabu wanajuana wenyewe kwa wenyewe tu.
UHURU KENYATTA ni mrefu , lakini nimeangalia picha waliyopiga na Trumph, naona Trumph mrefu kweli.
Sasa huyu ANKO MAGU kwa ufupi ule akisimama na trumph si atakuwa kama andunje??? Hahahahahaaaa
Halafu na kimombo hakipandi.
Anaweza akapiga mtu ngumi kwa husuda..
His excellency ni mfupi mno!!Mweeh! [emoji16]
Trump stands at 6'2.
Uhuru anoenakana he's about 6 ft tall, mfupi kidogo kwa Trump.
View attachment 849826
Sijui His Excellency Dr. John Joseph Pombe Magufuli ni mrefuje..
His excellency ni mfupi mno!!
Nakumbuka Kagame alipokuja Tanzania.........His excellency alikuwa anamfikia kifuani halafu ni kama alikuwa ana-lose confidence kiaina..
yayayayayyayaaaaaa!Aiseh!, Sipati picha His Excellency kama alimfika Mr Slim kifuani, aje asimame na Ange Kagame...[emoji55][emoji87][emoji85]
View attachment 849828
yayayayayyayaaaaaa!
Mkulu wetu atafunikwa vibaya!!!
Truly, stature matters a lot when it comes to personal confidence.
Sasa hapo mtukufu si atafikia magotini!..
Kwa hiyo wakaamua wajenge miundo mbinu ya east African !!!!, kuhusu Sudan wameamua itakuwa jumbo la Kenya mipaka Uganda na Tz itakuwa mkoa wa Nairobi, ambapo Rwanda ni Wilaya za kibera slams. Sijui kama nimekuelewa sahihi.Upende usipende rais Uhuru aliwakilisha ukanda huu wote wa Afrika ya mashariki na kati. Ndio maaana walijadili masuala ya S.Sudan. Tz ni nchi moja tu kati ya zingine kadhaa kwenye ukanda huu. Uafrika na uzungu sio ishu, rais Uhuru Kenyatta alialikwa ili waketi kwenye kikao na wajadiliane na rais wa nchi ambayo ipo mbali sana kiuchumi, kimaendeleo, n.k, n.k..