zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Yes fish fish masakiSomething fish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes fish fish masakiSomething fish
Nmeelewa palipoandikwa mitimadelashounze mizipwakaumwaChapia chapia utapata kidogo. Ukifail nambie
Kama hawajalipwa mishahara unatarajia niniKama jeshi lenyewe la kipuuzi namna hii, yaani baada ya kujikita kwenye mapigano wao wanawaza kuiba mali za raia hakuna kazi hapo.
Ni kweli aise wala hailewekimbona hapo maneno ni mengi mara m23 wanakaribia uwanja wandege mara tuambiwe m23 wamerudi nyumba sasa Ukweli ni upi?
Tangu lini mhuni akaaminika?Ina maana tangazo la M23 kusitisha vita ilikuwa uongo ?
"Maelfu ya wanajeshi wa congo kushtakiwa kwa kosa la kuwakimbia waasi wa m23" BBCswahili.Kila wanapopigana M23/RDF hushinda na kuzidi kuteka maeneo.
Kiufupi jeshi la Drc hawana uwezo wowote wa kufanya 'counter offensive '.
T14 Armata Tresor Mandala
Wao wanachojua ni kukaa magetini bara barani na kusumbua wageni, kuhus Jeshi DRC ni bure kabisa bila msaada hawajiwezi kabisa, ukifika huko utajua nachokisema.Kila wanapopigana M23/RDF hushinda na kuzidi kuteka maeneo.
Kiufupi jeshi la Drc hawana uwezo wowote wa kufanya 'counter offensive '.
T14 Armata Tresor Mandala
Kivu kaskazini hawakuwepo?
We fuatilia vizuri, waliwithdraw wakapita njia ya maji (ziwa Kivu). Barabara ya Minova, ya kuelekea Kivu kusini,ilikuwa imefungwa na M23. Kumbuka, wata hawa wanawindana kwa kila liwezekanalo. Je, leo hii wanajeshi wale wako wapi!Bukavu hawakufika, Rwanda hawajaingia, Goma hawakurudi. Wako wapi???Aaah kumbe NORD KIVU walikuwepo?!!
KWani unadhani mchina hayupo? Wanaotekwa na kuuwawa ni raia gani! Mchina ana migodi yake huko na inatambulikaCongo wamuingize mchina tu apo wagawane mali izo .Tz tungekuwa wababe iyo mali ingekuwa chini yetu
Kuna habari niliona mchina kakamatiwa huko akiwa na dhahabu yenye thamani ya mabilion kwenye, na $ laki nane pesa taslim.KWani unadhani mchina hayupo? Wanaotekwa na kuuwawa ni raia gani! Mchina ana migodi yake huko na inatambulika
Kuna watu wanaitafuta pepo, wengine wapo bize na dunia, kuuwa watu, na kuiba mali, life yenyewe is too short
Allah atujaalie mwisho mwema!
Congo ni kama shamba la mjane. Sasa,unadhani huko hakuna matajili wenye uwezo wa kuchimba? Serikali kama inamugawia kila inaemtaka, acha wazalendo wa kweli wasitishe zoezi hilo huenda na wenyewe wanufaikeKuna habari niliona mchina kakamatiwa huko akiwa na dhahabu yenye thamani ya mabilion kwenye, na $ laki nane pesa taslim.
Hata majeshi ya SA walienda kwa personal interest za Ramaphosa na familia yake kwa mujibu wa wanahabari wao.Congo ni kama shamba la mjane. Sasa,unadhani huko hakuna matajili wenye uwezo wa kuchimba? Serikali kama inamugawia kila inaemtaka, acha wazalendo wa kweli wasitishe zoezi hilo huenda na wenyewe wanufaike
Acha kufananisha kikundi chenu cha kigaidi na wapigania haki/hamasKwa nini waende mbali ilhali al-Shabab wapo jirani tu hapo? Kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.
Upo sahihi sana tena zaidi ya sana.ccmu wanafuata Nyayo za MOBUTU kuua uzalendo kwa wananchi kwa kuwatenganisha wananchi na siasa za nchi yao kwa kuwateka , kuwafunga au kuwaua kbs wote mnaojaribu kuikosoa au kuishauri serikali , inapofika muda unawaitaj wananchi kupigani nchi yao , unakuta wananchi hawana huo moyo tena maana nyiny wachache mlijiona ndo weny nchi na wananchi hawataki wapigani wachache