Bukoba: Kauli ya kanisa juu ya Padri anayedaiwa kuhusika kifo cha Mtoto mwenye Ualibino.

Bukoba: Kauli ya kanisa juu ya Padri anayedaiwa kuhusika kifo cha Mtoto mwenye Ualibino.

Hua mnapenda sana kukaza hio mibichwa yenu. Habari iko wazi kabisa poroka kahusika kwenye mauaji na ndiye aliyeratibu zoezi, sasa ww unabisha nini? Paroko akihusika ndio limehisika kanisa katoliki lote? acheni kukwepesha mambo ili muonekane hakuna waovu kwenye dini yenu.
Hiyo dini ni ya kishetani kabisa
 
Mleta mada Acha ujinga kauli ya kanisa bado haijatolewa

Anayetakiwa kutoa kauli ya Kanisa ni Askofu WA Jimbo.ambaye Yuko safari Dar sio Askofu msaidizi WA Jimbo na kakueleza wazi kuwa Askofu WA Jimbo ndio mwenye kauli sio yeye

Usimlishe maneno askofu msaidizi WA Jimbo kuwa katoa kauli Kwa niaba ya Kanisa katoliki

Mtafute Askofu atoe hiyo kauli
Jazia na iyo kutoka insta
 

Attachments

  • Screenshot_20240621-183305_Instagram.jpg
    Screenshot_20240621-183305_Instagram.jpg
    571 KB · Views: 4
Back
Top Bottom