Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Wapuuzi hawa kqnisa katolikYani kiswahili siku hizi hatukuelewi hata tuendeleze mjadala...
Mtu katajwa..
Yupo...
Shida iko wapi!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapuuzi hawa kqnisa katolikYani kiswahili siku hizi hatukuelewi hata tuendeleze mjadala...
Mtu katajwa..
Yupo...
Shida iko wapi!??
lishachafuka ktambo,na inaonekana ndio sponser mkuushida mnatuchafulia kanisa
Hiyo dini ni ya kishetani kabisaHua mnapenda sana kukaza hio mibichwa yenu. Habari iko wazi kabisa poroka kahusika kwenye mauaji na ndiye aliyeratibu zoezi, sasa ww unabisha nini? Paroko akihusika ndio limehisika kanisa katoliki lote? acheni kukwepesha mambo ili muonekane hakuna waovu kwenye dini yenu.
Jazia na iyo kutoka instaMleta mada Acha ujinga kauli ya kanisa bado haijatolewa
Anayetakiwa kutoa kauli ya Kanisa ni Askofu WA Jimbo.ambaye Yuko safari Dar sio Askofu msaidizi WA Jimbo na kakueleza wazi kuwa Askofu WA Jimbo ndio mwenye kauli sio yeye
Usimlishe maneno askofu msaidizi WA Jimbo kuwa katoa kauli Kwa niaba ya Kanisa katoliki
Mtafute Askofu atoe hiyo kauli