Hua mnapenda sana kukaza hio mibichwa yenu. Habari iko wazi kabisa poroka kahusika kwenye mauaji na ndiye aliyeratibu zoezi, sasa ww unabisha nini? Paroko akihusika ndio limehisika kanisa katoliki lote? acheni kukwepesha mambo ili muonekane hakuna waovu kwenye dini yenu.