Bukoba mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu

Bukoba mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu

Kijana wanajulikana kwa sababu ni kabila kubwa.

But kila kabila hizo Tabia zipo.so ni Tabia za binadamu yeyote anayo sio kabila flani.

Otherwise uwe unachuki na kabila flani.
Kuna vikabila vidogo vina Tabia za ajabu ajabu mpaka utasema wahaya ni Bora sana
Hahahaha...nshomile ila mna tambo sana nyie, nshomile hata akiishia kidato cha nne huwa anapenda kuji present kama mtu maridadi sana, msomi. Sasa ikitokea ana PhD au ni professa au amewahi kuishi na kufanya kazi majuu na ana pesa zake, hakuna mtu ataacha kumjua....maana akianza kujitambulisha itabidi mtafute mashuka muuchape usingizi.
 
Hahahaha...nshomile ila mna tambo sana nyie, nshomile hata akiishia kidato cha nne huwa anapenda kuji present kama mtu maridadi sana, msomi. Sasa ikitokea ana PhD au ni professa au amewahi kuishi na kufanya kazi majuu na ana pesa zake, hakuna mtu ataacha kumjua....maana akianza kujitambulisha itabidi mtafute mashuka muuchape usingizi.
Ni lifestyle kila mtu anachagua.

Kama hakudhuru ya Nini kumfatilia mtu
 
luambo makiadi nashangaa sijakuona kwenye uzi huu
Naona mnaitana vichaa wa uru.
Acha watu waisifu bukoba.
Ukichindwa kuvumilia kaoe bukoba
images%20(91).jpg
 
Sijakufuatilia mtani ila nakuambia tu muache majigambo kupitiliza....
Mimi nashauri kila mtu Aishi maisha yake.

Husimpangie mtu maisha vinginevyo utateseka wew mwenyew Wala sio yeye.


Uzuru wahaya hawanaga time na watu so utateseka mwenyew tu [emoji12][emoji23]
 
Mimi nashauri kila mtu Aishi maisha yake.

Husimpangie mtu maisha vinginevyo utateseka wew mwenyew Wala sio yeye.


Uzuru wahaya hawanaga time na watu so utateseka mwenyew tu [emoji12][emoji23]
Sawa waitu, ila ukija musoma ni mwendo wa kushinda njaa tu maana hatunaga kawaida ya kupika vyakula laini laini....
 
Ila mji wa Bukoba uko hovyo sana, sikutegemea kuona mji kuwa vile kwani nilidhani ni bonge la jiji kumbe wanapitwa hata na Kigoma Ujiji.
Kwa kweli Kigoma papo vizuri sema tu watu ambao hawajawahi kufika wakisikia Kigoma mwisho wa reli wanadhani ni pa hovyo sana kumbe papo poa tu. Miji mingi sasa hvi inakuwa na kubadilika japo kasi ya ukuaji wa miji inatofautiana kutokana na sababu mbalimbali.
 
Sawa Magu kajitahidi.

Lakini kaubagua huu mkoa kwenye stendi ya mkoa, soko kuu la mji na barabara za mjini zimechakaa Sana.

But kwa upande vijijini huko ndio Kuna mijumba na mahekalu
Tatizo mnamsifia MTU hata asivyo stahili!!! Mungu akachukia!!
 
Kila sehemu na utamaduni wake
Ni kweli lazima tuenzi tamaduni zetu. Ila kumbuka sio kila mwanamke wa kihaya ataolewa na muhaya. Sio kila muhaya ataishi kagera. Lazima wajifunze tamaduni nyingine.
Muhaya mpe kazi ya kupika ndizi aseee ugali na wali utakula vibichi
 
Ni kweli lazima tuenzi tamaduni zetu. Ila kumbuka sio kila mwanamke wa kihaya ataolewa na muhaya. Sio kila muhaya ataishi kagera. Lazima wajifunze tamaduni nyingine.
Muhaya mpe kazi ya kupika ndizi aseee ugali na wali utakula vibichi
Sasa ukioa muhaya si unabidi ukubaliane na utamaduni wake!!!?

Kama unataka awe mkeo mfundishe sio Lazima ulazimishe kila mtu afanane na wew.


So una weak point sana
 
Sasa ukioa muhaya si unabidi ukubaliane na utamaduni wake!!!?

Kama unataka awe mkeo mfundishe sio Lazima ulazimishe kila mtu afanane na wew.


So una weak point sana
Nani anataka kuoa muhaya siku hizi? Tembelea kumbi za sherehe Kama utajuta bi harusi muhaya
 
Nani anataka kuoa muhaya siku hizi? Tembelea kumbi za sherehe Kama utajuta bi harusi muhaya
Mimi nianze kutembelea kumbi za starehe niache kutafuta hela?

Hizo Tabia mnazo nyinyi wanyamaanga[emoji23]
 
Sie hatuna sijuhi chuo cha serikali, hospitali ya kanda wala uwanja wa ndege wa kimataifa na ofisi nyingi sana za mashirika lakini bado tuko poa tu. Hiyo ndo Kagera inayojibeba yenyewe.
 
Mimi nianze kutembelea kumbi za starehe niache kutafuta hela?

Hizo Tabia mnazo nyinyi wanyamaanga[emoji23]
Huyu achana nae make anataka kupoteza maana rafiki ya uzi huu kwa chuki zake mwenyewe. Kama kuna lolote la kuendelea kutiririka na adventures mbalimbali kutoka Bkb leta mkuu siku zisonge. Huna picha ya bkb club road ukaweka tukapata fahari ya macho atleast?
 
Back
Top Bottom