instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
I miss this weather.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I miss this weather.
Wew unataka vijijini kuwepo na nyumba za tembe Kama huko kwenu.Hakuna watu bogus kama nshomile, hayo mashindano ya kujenga migombani ni kujitutumua tu kuonyesha uwezo mkubwa dhidi ya majirani na ndugu wengine, nshomile atafanya mishe zote town akaonyeshe sifa kijijini kwake.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeguswa kisawasawa.Sawa Magu kajitahidi.
Lakini kaubagua huu mkoa kwenye stendi ya mkoa, soko kuu la mji na barabara za mjini zimechakaa Sana.
But kwa upande vijijini huko ndio Kuna mijumba na mahekalu
Hahahaaaaaaa hujatembea weeeeeeeTatizo mnakuja na mentality ya kukuta bukoba inafanana na Dar wakati ni mji wa kawaida tu unaojitosheleza.
Ila kwa Tanzania hakuna mkoa wenye makazi Bora vijijini Kama kagera
[emoji23][emoji23][emoji23] mmeshaanza chokochoko, usiofu mkuu hayo ni maeneo machache aliyobahatika kufika Bukoba kuna sehem nyingi nzuri tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeguswa kisawasawa.
Instanbul umebadili ID ili uje na picha za vieneo vichache vyenye vijumba ili ionekane mtu baki kapasifia BUKOBA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NENDA MOSHI ANZA NJIA PANDA YA HIMO, PANDA NJIA YA MARANGU HADI UKIFIKA MARANGU MTONI UTAGUNDUA BUKOBA HUTO NI TUJUMBA, baada ya kutoka marangu nenda kilema,kiraracha then geuza nenda ROMBO.
UKIMALIZA ZUNGUKA MLIMA ANZA NA SIHA, NENDA MACHAME,KIBOSHO hutatamani kupasifu bk
Nshomile booster tu hamna kitu,Wew unataka vijijini kuwepo na nyumba za tembe Kama huko kwenu.
Hapo umekosea mkuu, uhayani ni aibu we ndo msomi kwenye familia unafany kazi kampuni kubwa au una biashara nzuri tu huko mikoani alafu December unafikia kwa ndugu au umejenga nyumba ya hovyo unazidiwa na ndugu zako waliobaki wanaendesha bodaboda. Hata hivyo ni baraka pia ukiwafanya wazazi waishi sehem nzuri hata kama ni kijijiniHakuna watu bogus kama nshomile, hayo mashindano ya kujenga migombani ni kujitutumua tu kuonyesha uwezo mkubwa dhidi ya majirani na ndugu wengine, nshomile atafanya mishe zote town akaonyeshe sifa kijijini kwake.....
Umezaliwa na kukulia Bukoba? Maana inawezekana hali ya Migomba ilikuwa hivohivo miaka yote..Ila kwakuwa hukukulia huko ukawa unadhani labda hata barabara za Bukoba zinapita kwenye majani ya migomba.Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.
Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.
Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.
Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.
Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.
Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.
Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.
Watu wameelimika kujenga kwao sasa
View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699
Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.
nitaendea…
View attachment 1938697
Kama wapo ni wachache tu kama ilivyo kwenye jamii nyinginezoNshomile booster tu hamna kitu,
Hawajui interpreneurship matokeo yake wakistaafu wanaanza kuuza nyumba zao ili wa survive,
Wanajishaua sana wakiwa vibaruani,
Wanajenga nyumba nzuri, gari zuri ila end of the day hawana masalio ya baadae.
Sasa mtani waitu, punguzeni majivuno kidogo basi angalau mwende sawa na watu wengine.....pia mnakuwa na ubinafsi na hila nyingi sana dhidi ya watu wa makabila mengine.Hapo umekosea mkuu, uhayani ni aibu we ndo msomi kwenye familia unafany kazi kampuni kubwa au una biashara nzuri tu huko mikoani alafu December unafikia kwa ndugu au umejenga nyumba ya hovyo unazidiwa na ndugu zako waliobaki wanaendesha bodaboda. Hata hivyo ni baraka pia ukiwafanya wazazi waishi sehem nzuri hata kama ni kijijini
Waitu nasikia hayo magofu mnajenga kwa ajili ya kukaa mizimu maana wote mlishakimbia kwenu, mmelowea kwenye mikoa mingine.....Wew unataka vijijini kuwepo na nyumba za tembe Kama huko kwenu.
Eti nimebadili ID.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeguswa kisawasawa.
Instanbul umebadili ID ili uje na picha za vieneo vichache vyenye vijumba ili ionekane mtu baki kapasifia BUKOBA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NENDA MOSHI ANZA NJIA PANDA YA HIMO, PANDA NJIA YA MARANGU HADI UKIFIKA MARANGU MTONI UTAGUNDUA BUKOBA HUTO NI TUJUMBA, baada ya kutoka marangu nenda kilema,kiraracha then geuza nenda ROMBO.
UKIMALIZA ZUNGUKA MLIMA ANZA NA SIHA, NENDA MACHAME,KIBOSHO hutatamani kupasifu bk
Halafu huko Rombo nilipaona ITV ni pachovu kweli na pombe ni nyingi mpaka mtu anasahau watoto wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeguswa kisawasawa.
Instanbul umebadili ID ili uje na picha za vieneo vichache vyenye vijumba ili ionekane mtu baki kapasifia BUKOBA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NENDA MOSHI ANZA NJIA PANDA YA HIMO, PANDA NJIA YA MARANGU HADI UKIFIKA MARANGU MTONI UTAGUNDUA BUKOBA HUTO NI TUJUMBA, baada ya kutoka marangu nenda kilema,kiraracha then geuza nenda ROMBO.
UKIMALIZA ZUNGUKA MLIMA ANZA NA SIHA, NENDA MACHAME,KIBOSHO hutatamani kupasifu bk
Kila mtu Aishi maisha yake aliyoyachagua .Nshomile booster tu hamna kitu,
Hawajui interpreneurship matokeo yake wakistaafu wanaanza kuuza nyumba zao ili wa survive,
Wanajishaua sana wakiwa vibaruani,
Wanajenga nyumba nzuri, gari zuri ila end of the day hawana masalio ya baadae.
Lakin mbona mkoa wa kagera ni wa tatu nchini kwa idadi ya watu nyuma tu ya dar na mwanza .Waitu nasikia hayo magofu mnajenga kwa ajili ya kukaa mizimu maana wote mlishakimbia kwenu, mmelowea kwenye mikoa mingine.....
Mimi watani zangu hao, ngoja niwaachie ligi yenu nshomile na watu wa moshi...Nshomile booster tu hamna kitu,
Hawajui interpreneurship matokeo yake wakistaafu wanaanza kuuza nyumba zao ili wa survive,
Wanajishaua sana wakiwa vibaruani,
Wanajenga nyumba nzuri, gari zuri ila end of the day hawana masalio ya baadae.
DuuhBaada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.
Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.
Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.
Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.
Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.
Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.
Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.
Watu wameelimika kujenga kwao sasa
View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699
Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.
nitaendea…
View attachment 1938697
Dah! population hiyo ni kubwa sana aisee, kuunganisha mkoa huu na mikoa mingine jirani kama Mwanza kwa barabara za lami kutaufanya uvutie zaidi kwa watu kuweka makazi na uwekezaji.Lakin mbona mkoa wa kagera ni wa tatu nchini kwa idadi ya watu nyuma tu ya dar na mwanza .
Mkoa una 3million people na density ya 124 per kilometre