Bukoba mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu

Bukoba mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu

IMG_0584.jpg
 

Attachments

  • IMG_0585.jpg
    IMG_0585.jpg
    277.2 KB · Views: 2
IMG_0597.jpg

IMG_0595.jpg

IMG_0594.jpg

IMG_0593.jpg

IMG_0589.jpg

IMG_0590.jpg

IMG_0586.jpg

IMG_0592.jpg
 

Attachments

  • IMG_0596.jpg
    IMG_0596.jpg
    306.6 KB · Views: 1
Ila mji wa Bukoba uko hovyo sana, sikutemea kuona mji kuwa vile kwani nilidhani ni bonge la jiji kumbe wanapitwa hata na Kigoma Ujiji.
Tatizo mnakuja na mentality ya kukuta bukoba inafanana na Dar wakati ni mji wa kawaida tu unaojitosheleza.


Ila kwa Tanzania hakuna mkoa wenye makazi Bora vijijini Kama kagera
 
Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.

Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.

Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.

Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.

Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.

Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.

Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.

Watu wameelimika kujenga kwao sasa

View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699

Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.

nitaendea…

View attachment 1938697
Ugonjwa wa Ukimwi wa ndizi au mnyauko ndio chanzo cha hali hii
 
Ugonjwa wa Ukimwi wa ndizi au mnyauko ndio chanzo cha hali hii

[emoji3] ukimwi ulianzia uganda kwa kuwa uganda ilianza maendeleo mapema kuja kwa mataifa mengi na biashara.
tanzania kipindi cha nyerere tulifanywa wajinga na mpaka leo ni wajinga kwa ccm.

mila za misiba ndio zilisababisha maambukizi ya familia kuchangia nyembe kunyoa kipindi misiba.
 
Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.

Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.

Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.

Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.

Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.

Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.

Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.

Watu wameelimika kujenga kwao sasa

View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699

Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.

nitaendea…

View attachment 1938697
Ila Bukoba pazuri jamani na wale jamaa wana maendeleo
 
Back
Top Bottom