Bukoba mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu

Bukoba mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu

Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.

Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.

Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.

Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.

Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.

Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.

Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.

Watu wameelimika kujenga kwao sasaView attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699

Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.

nitaendea…

View attachment 1938697
Hio Migomba ata sio shida wacha ipotee tu , muhim katerero iwepo tu basi
 
Hio Migomba ata sio shida wacha ipotee tu , muhim katerero iwepo tu basi
Nyie kaeni na maviota ya nyasi huko vijijini kwenu.


Bukoba hata huko katerero hakuna nyumba za ovyo ovyo
JamiiForums-1771639799.jpg
 
Sio kweli kwamba hakuna migomba wilaya ya Bukoba isipokuwa baadhi ya maeneo walibadilisha aina ya migomba kutoka ya zamani na kupanda ya kisasa especially migomba aina ya FIA na ndizi zake zina soko mikoa ya jirani, ukienda maeneo ya izimbya bado kuna ndizi za asili za kutosha sasa hivi kuna hadi mkungu wa elfu moja
Fia haziliwi kama ebitoke
 
Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.

Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.

Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.

Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.

Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.

Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.

Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.

Watu wameelimika kujenga kwao sasaView attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699

Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.

nitaendea…

View attachment 1938697
Mtani wangu,
Mimi Sema: Ng’ombe
Wewe: Ngombe
Mimi Sema: Ng’ombe, ng’o....ng’o....ng’ombe
Wewe: Ngombe...ngo...ngo...ngombe!

Mimi: I give up!
1631709983216.gif
 
Uzuri umetoa sifa nzuri la sivyo hilo neno 'mkoa wa Bukoba' lingekutokea puani. Hiyo Petrol station iko wilaya ya Bukoba.
Baadae unaelekea wapi?
 
Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.

Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.

Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.

Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.

Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.

Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.

Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.

Watu wameelimika kujenga kwao sasa

View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699

Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.

nitaendea…

View attachment 1938697
Hiyo nyumba ya kwanza kama sikosei iko kijiji cha Bukabuye kwao kina Prof. Ishengoma alikuwa SUA na muda fulani alikuwa mkuu wa Idara ya misitu nchini, ndugu yake simtaji ila yuko vizuri pia.
Hiyo ya pili ni ya jamaa fulani simtaji alikuwa TANESCO pale Arusha ila sijui yuko wapi sahivi.

Wewe jamaa sometimes huwa nabishana nawe humu na hapo juzi kati nikaona picha zako
 
Back
Top Bottom