Hakuna CCM walikula rambi rambi za tetemekoIle stend ya mabasi pale Bukoba, Chadema walikwamisha isijengwe
Wana bukoba haya makosa tusirudie
Tuichague CCM ili ituletee maendeleo
NakaziaKongwa ni walamba miguu wa viatu vya boss lakini hawana maendeleo.
Wewe hujielewi CCM ni janga bukoba msithubu walikula rambi rambi zenu wakawatukana wakawadhihaki wakadai hawajaleta tetemeko wala njaa Leo muwape kura Hamna big no.
Hizo ni siasa za kibaguzi na kutishana
Mimi sishabikii chama
Ndiyo tabia ya CCMHizo ni siasa za kibaguzi na kutishana
Mimi sishabikii chama
CCM wanajua Rais ni kila kitu hivyo lolote anaweza kufanyaNdio maana Lissu anataka mkombolewe kielimu. Mmezidi kuwa mazuzu.
Wanachi na Raisi, bosi ni nani? Ni nani anamweka Raisi madarakani?
Katiba inasema mamlaka ya nchi ni wananchi. Mmekubali kumpa umungu binadamu. Pathetic
Hao wana nchi wa bukoba hawalipi kodi? Hiyo kodi yao haimlishi Magufuli? Haisaidii serikali?
Akili za mafisadi hizi.
Ndio maana Lissu anataka mkombolewe kielimu. Mmezidi kuwa mazuzu.
Wanachi na Raisi, bosi ni nani? Ni nani anamweka Raisi madarakani?
Katiba inasema mamlaka ya nchi ni wananchi. Mmekubali kumpa umungu binadamu. Pathetic
Hao wana nchi wa bukoba hawalipi kodi? Hiyo kodi yao haimlishi Magufuli? Haisaidii serikali?
Akili za mafisadi hizi.
"Ongeza sauti kidogo"Kongwa ni walamba miguu wa viatu vya boss lakini hawana maendeleo.
Kuna mradi pale dar ulicheleweshwa na wabunge na madiwani wa chadema kwa kudhani wakifanya wataipa sifa Serikari ya CCM sasa hapo ubaguzi ulikuwa upande gani?Hizo ni siasa za kibaguzi na kutishana
Mimi sishabikii chama