Uchaguzi 2020 Bukoba Mjini msifanye makosa tena tarehe 28/10

Uchaguzi 2020 Bukoba Mjini msifanye makosa tena tarehe 28/10

Ka
Bukoba tumeamua na tutamchagua kwa KISHINDO JPM

October 28th Kagera yote itampa kura Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kagera tangu 2015 Hadi 2020 ni miradi gani imefanyika huku kupitia serikali ya awamu ya tano?
 
Ile stend ya mabasi pale bukoba,Chadema walikwamisha isijengwe

Wana bukoba haya makosa tusirudie

Tuichague CCM ili ituletee maendeleo
Ha ha
Balozi Kagasheki na Mayor ..walikua chadema wakati wanazinguana kujenga stand?
 
Wewe hujielewi CCM ni janga bukoba msithubu walikula rambi rambi zenu wakawatukana wakawadhihaki wakadai hawajaleta tetemeko wala njaa Leo muwape kura Hamna big no.
Ukiletea kiburi kisima cha maji wewe ndo utakufa na kiu,
Maumivu ni yenu watu wa bukoba.
 
Mbunge wa bukoba anayemaliza muda wake ni wa Chadema
Ukiwa Chadema unaambiwa upinge kila kitu
Ha ha
Balozi Kagasheki na Mayor ..walikua chadema wakati wanazinguana kujenga stand?
 
Ka

Kagera tangu 2015 Hadi 2020 ni miradi gani imefanyika huku kupitia serikali ya awamu ya tano?
Wpinzani wameikwamisha sana Bukoba mjini sasa kwa sauti Moja tumechagua Maendeleo na tutampigia KURA ZA NDIO JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ukiletea kiburi kisima cha maji wewe ndo utakufa na kiu,
Maumivu ni yenu watu wa bukoba.
Hakuna jipya .tangu mwaka 1977 CCM ipo madarakani watu bafo ni madkini wa kutupwa.ifuteni CCM moja kwa moja
 
Hakuna jipya .tangu mwaka 1977 CCM ipo madarakani watu bafo ni madkini wa kutupwa.ifuteni CCM moja kwa moja
Jiulize kwa nini wewe ni masikini na kuna wengine ni matajiri, kisha uamue kuishi ma mawazo yako au kuyabadili ili siku moja uwe tajiri.
Hata huko ulaya kuna masikini pamoja na facilities zote walizonazo.
Toka nje ya box, tatizo ulilonalo jasa ukiwa na ka elimu ka chuo basi hutaki kuanza na umachinga.
 
Mwenye nacho huongezewa, naangalia apa watu wa arusha walivojaaa, arusha wanasema aina kelele baba
 
Kongwa ni walamba miguu wa viatu vya boss lakini hawana maendeleo.
Maendeleo yana sura mbili kwenye mixed economy nchi, yanayoletwa na watu binafsi, na haya ndio muhimu sana kwani yanasaidia kuiforce serikali kuwahisha huduma eneo hilo.
 
Wakazi wa Bukoba, naomba muelewe kuwa boss hanuniwi.

Kuendelea kuuchagua upinzani ni kuendelea kwa hiyari yenu kabisa kujitenga na maendeleo.

Jifunzeni kuenda na uelekeo wa upepo. Amkeni!

Nawakumbusha kuwa hasira hasara. Wenzenu wa Kilimanjaro wameshaliona hili na kuna uwezekano mkubwa wa wao kutorudia makosa.

Nawatakia uchaguzi mwema.
Magufuli na CCM siyo miungu,watakufa tu,wakati tukisubiri wafe kura zetu zote upunzani...
Ushaona lini wasomi wakaongozwa na mangumbaru...wakae na maendeleo yao,wakiona huruma sana watapeleke Mkalama,Kongwa,Iramba,na kokote kule wanakoichagua ccm kila miaka
 
Katoro mkoa wa geita, hakuna maji Safi na salama. Tufanyeje? Tangu mwaka 1977
Jiulize kwa nini wewe ni masikini na kuna wengine ni matajiri, kisha uamue kuishi ma mawazo yako au kuyabadili ili siku moja uwe tajiri.
Hata huko ulaya kuna masikini pamoja na facilities zote walizonazo.
Toka nje ya box, tatizo ulilonalo jasa ukiwa na ka elimu ka chuo basi hutaki kuanza na umachinga.
 
J
Kuna mradi pale dar ulicheleweshwa na wabunge na madiwani wa chadema kwa kudhani wakifanya wataipa sifa Serikari ya CCM sasa hapo ubaguzi ulikuwa upande gani?
Hawa watu hawajawahi kupitisha bajeti, sasa haizo huduma zingewafikiaje wananchi?
Je majimbo yafuatayo yalishawahi kuongozwa na wapinzani?
Isimani
Kondoa
Bumbuli
Kongwa
Handeni
Morogogo mjini nk
Naulizatu changamoto za maji,umeme,barabara,vituo vya afya

Mkuu jenga hoja acha siasa za kibaguzi
 
Mkoa wote wa Tabora haujawahi kuwa na upinzani lakini ndo mkoa masikini
 
Maneno ya watu wa darasa la 7

Kura yangu nampa chifu
Mimi ni msomi kutoka Bukoba
 
Wakazi wa Bukoba, naomba muelewe kuwa boss hanuniwi.

Kuendelea kuuchagua upinzani ni kuendelea kwa hiyari yenu kabisa kujitenga na maendeleo.

Jifunzeni kuenda na uelekeo wa upepo. Amkeni!

Nawakumbusha kuwa hasira hasara. Wenzenu wa Kilimanjaro wameshaliona hili na kuna uwezekano mkubwa wa wao kutorudia makosa.

Nawatakia uchaguzi mwema.
Waambieni wafute tu mfumo wa vyama vingi tujue moja. Unawezaje kula keki halafu wakati huo huo unatamani uendelee kuwa nayo?
 
Cha msingi endana na hali halisi iliyopo. Nyumbulika.
Mkipiga kura kishabiki maendeleo mtayasikia kwa redio

Waambieni wafute tu mfumo wa vyama vingi tujue moja. Unawezaje kula keki halafu wakati huo huo unatamani uendelee kuwa nayo?
 
Back
Top Bottom